mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
mwambie mama yako avae hivyo kama unaona ni dawa na a pige picha aweke mtandaoMbona hakuna picha mbaya hapo .... Hivi ninyi mmelogwaaa?? Mkiona mgongo tu ...akili zinaanza kurukana fumbafuuuu
Ndio maana kuna mdau aliuliza hapa hivi wasanii wanapataga ukimwi, maana huyu mtoto ukimwangalia bado mbiiichi kama zero kilomitaKuishi mjini mipango! Huyu dj namjua tangu anapiga pale samaki ya town. Alikua akimaliza anaondoka na mdau
Cc Scorpion meMuombe scorpion me atakusaidia mkuu kwa sababu yeye ndo kinara wa huko!
Bila Sam misago tusingemjua huyu ila ok kama kiki kapataKuishi mjini mipango! Huyu dj namjua tangu anapiga pale samaki ya town. Alikua akimaliza anaondoka na mdau
Wafiraji utawajua tuwameona mgongo,minara yao inaanza kusoma
Bila Sam misago tusingemjua huyu ila ok kama kiki kapata
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA