Dj summer amekuwaje siku hizi?

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Huyu jamaa siku hizi naona hafanyi mixing Kali Kama zamani.

Yaani labda naona ufanisi wake umepungua. Muda mwingi planet bongo anakuwa dj dea ata kule fnl. Sijui kwanini.

Huyu summer Alishawahi kushinda mashindano ya udj kipindi kile 2009 kitu kama hicho.
Halafu summer beat matching inamshinda, ni mzuri kwenye live scratching..

Niseme ukweli kwa sasa east africa pale dj mkali ni dea. Tuu
 
Lichaya uwezo mkubwa alonao, kwanini mafuvu hapati kituo cha kazi tukaskiliza zile vibe zake.. ama shida nn wakuu..
 
Mara kadhaa nmemuona akifanya pale La Chaz.. ila mchz sio wa kufanya club kabisaa.. kuna kpnd clouds walimchukua fiesta, sasa sijui ikawaje wakamuachia tenaa.. mchz kuna sehem anakwama
ina maana kwamba mafuvu sio dj wa club??.
inawezekna kweli..
ile clouds ilikuwa mambo yao tu ya promo. ili wajaze watu.
wamemuacha maan wana madj wengi..
 
Lichaya uwezo mkubwa alonao, kwanini mafuvu hapati kituo cha kazi tukaskiliza zile vibe zake.. ama shida nn wakuu..
Sio kwamba hataki Ila maslahi madogo kwenye radio stations kuliko anachoingiza kwenye clubs na pub...!Kwa hiyo ameamua kujiajiri yeye Kama yeye!.....

Ila Mafuvu enzi za planet bongo na FNL ilikuwa Ni moto!
 
kuna dj mmoja anaitwa Dj Masu yupo AFM dodoma, huyu jamaa inatakiwa clouds wamchukue maana ana balaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…