bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Mchezaji kaachwa bado una nuna so ulitaka Yanga wamtafutie timu? mbona sisi tume muacha Banda dirisha la CAF lisha fungwa au ya kwetu huyaoni?Badilikeni mnatakiwa kuona fahari wachezaji wenu wakisonga mbele na kufanikiwa zaidi siyo hivi mnavyofanya. Nyie watu wa aina gani?