Mr Alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 273
- 765
Simba watamsajili djuma Shabani kama mbadala wa kapombe
Baada ya kuachana na klabu ya Yanga msimu uliopita Na kutua Azam FC, beki wa kulia raia wa Congo DR Djuma Shabani anategemea kujiunga na watani wa jadi Simba SC katika majira haya ya kiangazi.
Djuma ambae amekaa msimu mzima akiwa nje ya uwanja hapo awali alimalizana kila kitu na Azam Fc kabla ya deal hilo kuishia njiani
Simba pia wana haha kutafuta sahihi ya Beki wa kushoto wa YANGA Joyce Lomalisa ambae mkataba wake UNAELEKEA mwishoni
Bangala tayari yupo Azam Fc, Mayele yupo Pyramids Fc , Moloko yupo Libya , Djuma anaenda Simba Sc hao ni baadhi ya wachezaji waliopita Yanga Sc Kwa mafanikio makubwa.
Baada ya kuachana na klabu ya Yanga msimu uliopita Na kutua Azam FC, beki wa kulia raia wa Congo DR Djuma Shabani anategemea kujiunga na watani wa jadi Simba SC katika majira haya ya kiangazi.
Djuma ambae amekaa msimu mzima akiwa nje ya uwanja hapo awali alimalizana kila kitu na Azam Fc kabla ya deal hilo kuishia njiani
Simba pia wana haha kutafuta sahihi ya Beki wa kushoto wa YANGA Joyce Lomalisa ambae mkataba wake UNAELEKEA mwishoni
Bangala tayari yupo Azam Fc, Mayele yupo Pyramids Fc , Moloko yupo Libya , Djuma anaenda Simba Sc hao ni baadhi ya wachezaji waliopita Yanga Sc Kwa mafanikio makubwa.