Tetesi: Djuma Shabani kutua msimbazi kama mbadala wa Kapombe

Lomalisa unamfaninisha na beki Gani hapo simba
 
Hawana lolote wanataka wampige MO tu changa la macho
 

Acahaneni na wastaafu ,tafuteni vijana. Roberto carlos enzi zake alikuwa moto ila kwa umri wake Sasa hata ukimleta Simba hapati namba. Msisajili waliovima Bali sajilini wanauvuma
 
Wewz huna akili yaani unanitajia huyo mzee ndio amzidi uwezo lomalis mutambala kweli aliewaita makolo hakukosea
Heri yako wewe mwenye akili kama za viongozi wa Simba. Hamjatosheka tu kuwapelekea Simba magarasa Freddy na Jobe na sasa mnawapigia debe Lomalisa na Djuma Shabani. Waoneeni huruma mashabiki na wapenzi wa Simba mtawaua bure kwa matokeo mabovu. Kila mtu anajua Hersi hawezi kumuachamchezaji wa maana akaondoka Yanga katu asilani.
 
Ana umri gani kwasasa?
 
Mwanafamilia kivipi???kwani bosi alimuoa Farida,dada ake injiniai?
Jies-em alikuwa anamega kisela,ishu ilivyostukiwa Farida alipigwa chini from the company,alitolewa 'hapa ipo' na mke wa bosi.
 
Umeandika upupu mtupu
 
na wewe umeshaamini kuwa Lomalisa anaenda Simba?
Wachezaji wote wawili wana uwezo mkubwa kiuchezaji na uzoefu pia. Hata hivyo, changamoto kubwa ni majeruhi yao ya mara kwa mara. Yaani kipindi cha kwanza dakika ya 10 unakuta wameumia na kuomba kutoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…