Dk-b, kijana anayemuigiza magufuli -vipi yuko poa?

Dk-b, kijana anayemuigiza magufuli -vipi yuko poa?

Dah huyu hawezi kukamatwa japo kamdhalilisha anayemuiga kutokana na mavazi machafu sana na kitambi cha kutengeneza kilichokosa viwango
Mambo ya sanaa hayo mkuu.
Unaangalia na "kujaji" hii aina moja ya sanaa ya maonesho!
Utasemaje na zile za maandishi kama za kina kipanya etc, tena wao huongeza manjonjo zaidi watakavyo!
Pua, pua kweli. Bichwa, bichwa hasa! Si wangekuwa wanaozea segedansi?
 
Mambo ya sanaa hayo mkuu.
Unaangalia na "kujaji" hii aina moja ya sanaa ya maonesho!
Utasemaje na zile za maandishi kama za kina kipanya etc, tena wao huongeza manjonjo zaidi watakavyo!
Pua, pua kweli. Bichwa, bichwa hasa! Si wangekuwa wanaozea segedansi?
Nimezungumzia kuhusu uchafu wa mavazi! Uchafu ni uchafu hauwezi kuwa sanaa
 
Niko mochwari nawalaza wengine
Mkuu nakuaminia. Lakini mimi na wewe twaweza kuwa kada1 ingawa idara tofauti. Wewe unawalaza lakini mimi ninawasababishia usingizi huo, kabla ya muda wangu na mimi kufika wa kulala ama kulazwa.
 
Mkuu nakuaminia. Lakini mimi na wewe twaweza kuwa kada1 ingawa idara tofauti. Wewe unawalaza lakini mimi ninawasababishia usingizi huo, kabla ya muda wangu na mimi kufika wa kulala ama kulazwa.
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nitakupa tenda kubwa
 
Kajitahidi ila sasa hawa Comedy wetu kuna vitu wajifunze kuwa comedy hivyo sio lazima wavae manguo ya namna namna tu...au maviatu kama huyo jamaa wawe smart mda mwingine
 
Back
Top Bottom