Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
.Cc
Humphrey polepole
Alone kwenye jalada hii
Mbona unahangaika sana wewe, tulia alipe gharama za matusi yake!!!Dk. Bashiri Ally, wewe ni Mwalimu wangu wa siasa ya sayansi pale UDSM na ulinipenda sana kwa hoja zangu. Uliwahi kusema darasani, ,"politic is dynamic". Somo hili ulilikuza sana kwetu hata kama haina mantiki yoyote kwa siasa za Afrika.
Dk. Bashiru kama kweli ni mhafidhina naomba umsaidie Samia kwa kuweka hadharani Ile ripoti ya Mali za CCM iliyokupa u-SG Kwa Magufuli. Ripoti hii unayo nyumbani kwako ila unalazimisha ikae kwa "housegirl" Hanifa na hutaki ijulikane. NINAYO.
Hahaha haajavaa baraghashia???
Yupo Kule Twitter anadai akauze Kijiji apate pesa za kulipa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi nafikiri anatakiwa adhabu kubwa zaidi, hata kunyongwa hadi kufa, alijikuta mungumtu huyo papasi musiba, hafai kusamehewa, auwawe!
Inawezekana kabisa, ona hata heading haifanani na content ya Uzi. Almradi vurugu.Musiba ni unajianzishia nyuzi au????
Fijana fya ofyoo!!!Msiba , Sabaya, Makonda,. Adui wa mtu mweusi au mwafrika ni mwafrika mwenyewe