Dk. Bashiru Ally usikae kimya, muokoe Cyprian Musiba

Dk. Bashiru Ally usikae kimya, muokoe Cyprian Musiba

Dk. Bashiri Ally, wewe ni Mwalimu wangu wa siasa ya sayansi pale UDSM na ulinipenda sana kwa hoja zangu. Uliwahi kusema darasani, ,"politic is dynamic". Somo hili ulilikuza sana kwetu hata kama haina mantiki yoyote kwa siasa za Afrika.

Dk. Bashiru kama kweli ni mhafidhina naomba umsaidie Samia kwa kuweka hadharani Ile ripoti ya Mali za CCM iliyokupa u-SG Kwa Magufuli. Ripoti hii unayo nyumbani kwako ila unalazimisha ikae kwa "housegirl" Hanifa na hutaki ijulikane. NINAYO.
Kama we unayo si uweke hadharani
 
Dk. Bashiri Ally, wewe ni Mwalimu wangu wa siasa ya sayansi pale UDSM na ulinipenda sana kwa hoja zangu. Uliwahi kusema darasani, ,"politic is dynamic". Somo hili ulilikuza sana kwetu hata kama haina mantiki yoyote kwa siasa za Afrika.

Dk. Bashiru kama kweli ni mhafidhina naomba umsaidie Samia kwa kuweka hadharani Ile ripoti ya Mali za CCM iliyokupa u-SG Kwa Magufuli. Ripoti hii unayo nyumbani kwako ila unalazimisha ikae kwa "housegirl" Hanifa na hutaki ijulikane. NINAYO.
Hapo UDSM ulifaulu? Basi itakuwa maajabu, hakuna SoMo linaitwa Siasa ya sayansi, ila Kuna sayansi ya Siasa,pia, hata kingereza kinakupa shida, andika "politics is dynamic" .

Kama Bashiru alifaulisha jitu la hovyo hivi, elimu Ina safari ndefu
 
Dk. Bashiri Ally, wewe ni Mwalimu wangu wa siasa ya sayansi pale UDSM na ulinipenda sana kwa hoja zangu. Uliwahi kusema darasani, ,"politic is dynamic". Somo hili ulilikuza sana kwetu hata kama haina mantiki yoyote kwa siasa za Afrika.

Dk. Bashiru kama kweli ni mhafidhina naomba umsaidie Samia kwa kuweka hadharani Ile ripoti ya Mali za CCM iliyokupa u-SG Kwa Magufuli. Ripoti hii unayo nyumbani kwako ila unalazimisha ikae kwa "housegirl" Hanifa na hutaki ijulikane. NINAYO.
Waliomtuma woote wamekula nduki.
 
Pole pole anaweza kuja kuchua nchi kuna watu watakimbia nchi hii polepole raisi waziri mkuu makonda
 
Dk. Bashiri Ally, wewe ni Mwalimu wangu wa siasa ya sayansi pale UDSM na ulinipenda sana kwa hoja zangu. Uliwahi kusema darasani, ,"politic is dynamic". Somo hili ulilikuza sana kwetu hata kama haina mantiki yoyote kwa siasa za Afrika.

Dk. Bashiru kama kweli ni mhafidhina naomba umsaidie Samia kwa kuweka hadharani Ile ripoti ya Mali za CCM iliyokupa u-SG Kwa Magufuli. Ripoti hii unayo nyumbani kwako ila unalazimisha ikae kwa "housegirl" Hanifa na hutaki ijulikane. NINAYO.
Mbavu zangu....
 
Dk. Bashiri Ally, wewe ni Mwalimu wangu wa siasa ya sayansi pale UDSM na ulinipenda sana kwa hoja zangu. Uliwahi kusema darasani, ,"politic is dynamic". Somo hili ulilikuza sana kwetu hata kama haina mantiki yoyote kwa siasa za Afrika.

Dk. Bashiru kama kweli ni mhafidhina naomba umsaidie Samia kwa kuweka hadharani Ile ripoti ya Mali za CCM iliyokupa u-SG Kwa Magufuli. Ripoti hii unayo nyumbani kwako ila unalazimisha ikae kwa "housegirl" Hanifa na hutaki ijulikane. NINAYO.
We Musiba ulitukana sana, ulitamka bila haya kwamba Membe ni Joka la kibisa, wacha Joka la kibisa likutanue na kukutafuna mbwa weweeee!.....
 
Dk. Bashiri Ally, wewe ni Mwalimu wangu wa siasa ya sayansi pale UDSM na ulinipenda sana kwa hoja zangu. Uliwahi kusema darasani, ,"politic is dynamic". Somo hili ulilikuza sana kwetu hata kama haina mantiki yoyote kwa siasa za Afrika.

Dk. Bashiru kama kweli ni mhafidhina naomba umsaidie Samia kwa kuweka hadharani Ile ripoti ya Mali za CCM iliyokupa u-SG Kwa Magufuli. Ripoti hii unayo nyumbani kwako ila unalazimisha ikae kwa "housegirl" Hanifa na hutaki ijulikane. NINAYO.
Kuna namna nyingi za uokoaji kama huu uliofanyika leo pale Kairuki
 
Dk. Bashiri Ally, wewe ni Mwalimu wangu wa siasa ya sayansi pale UDSM na ulinipenda sana kwa hoja zangu. Uliwahi kusema darasani, ,"politic is dynamic". Somo hili ulilikuza sana kwetu hata kama haina mantiki yoyote kwa siasa za Afrika.

Dk. Bashiru kama kweli ni mhafidhina naomba umsaidie Samia kwa kuweka hadharani Ile ripoti ya Mali za CCM iliyokupa u-SG Kwa Magufuli. Ripoti hii unayo nyumbani kwako ila unalazimisha ikae kwa "housegirl" Hanifa na hutaki ijulikane. NINAYO.
Sema lingine, tayari Bashiru kafanya yake kwa hatua moja kumuokoa Musiba,ombi lako limefanyiwa kazi
 
Back
Top Bottom