Dk. Bashiru Ally usikae kimya, muokoe Cyprian Musiba

Deni lipo pale pale.....
Kuna miaka jamaa mmoja wa Tanga alikua anadaiwa na NBC Bank, kila afisa wa Bank aliyekumbushia deni lile alikua anafariki, pia ikatokea kwa mzee Mzindakaya kila alikikumbusha kumdai aliishia mortuary
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…