Dk. Bashiru ampa elimu ya uongozi Freeman Mbowe

Dr. Bashiru saved the party and the executive images, which were about to turn dirty due to 'supreme illusion' of one...!!
 

Wanacdm matusi ni kama mlo wa siku!
Wanacdm matusi ni kama waliandikiwa dose!
Asante kwa ushauri wako kwa CDM
 
Mdude anatukana sana matusi , mbona hakemewi?
 
U
 
Huu ndio ukomavu wa kisiasa tunaohitaji, kiongozi kujua kukosea na kuomba radhi. Utamaduni Huu usibaki tu kwa wazungu hata wa Africa tunaweza.
 
Mbow Mh. ni ......
 
Elitwege,
Kuwa chizi siyo lazima uokote makopo...!
Andiko lako linatosha kwa mtu kukubaini kuwa wewe ni chizi tosha.......!!
Hizi propaganda za kijinga.wamfanyia nani hasa kwa kutaka kuhamisha mjadala wa RC Makonda kudhalilika kweny mazishi ya Dr.Reginald Mengi.
Kila mtu aliona Mwendawazimu mwenzio Makonda akijivua nguo hadharani lakini watu wenye HIKMA,BUSARA na MAARIFA served a day for a LUNATIC PAUL MAKONDA!!

Alikuwa ni KM wa CCM Bwana Bashiru kumwombea msamaha mpayuka hovyo baada ya kuanza KUWADHALILISHA WACHAGGA kwa lugha za kihuni. Ndipo alipoingilia kati Askofu Shoo then Mhe. Mbowe nailed the last 6 inch nail to Makonda`s coffin......!!

Makonda ni marehemu anayetembea!!! Muda utasema.
 
Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?
UNA LAANA YA BABAKO YAANI LISSU MMEMPIGA RISASI LAKINI BADO MNATAKA AWAOMBE MSAMAHA JINGA KABISA MSUKULE WEWE
 
Unaliwa 0
 
BASHIRU AKAWAFUNDISHE UONGOZI BASHIT NA MJOMBA WAKE
 
Je, mimi wataniteka lini maana nimezidi kiromo romo[emoji57].
 
Akina Mdude, Sugu siyo wapayuka hovyo?

Utatetea ujinga wa ufipa mpaka lini?
 
UNA LAANA YA BABAKO YAANI LISSU MMEMPIGA RISASI LAKINI BADO MNATAKA AWAOMBE MSAMAHA JINGA KABISA MSUKULE WEWE
Mko bize kutetea ujinga wa ufipa usionekane ! Hovyo kabisa watu nyie
 
"Baba Askofu naomba utusamehe huku CCM hatukuandaa kabisa vijana kuwa viongozi na ndiyomaana leo tunavuna matunda ya hovyo kabisa" By Dr Bashiru Katibu Mkuu CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…