Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Bawacha wanaongoza kwa matusi
Mbowe ni kiongozi wa makampuni kadhaa na chama kikubwa Sana Tanzania nzima. So who is bashiri, obviously ni mgense fulani from unownDr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .
Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.
Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?
Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.
Wacha weee, umependeeezaDr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .
Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.
Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?
Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.
Huwezi kuwa na akili timamu ukashabikia uharamia wa maccmDr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .
Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.
Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?
Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.
Dr Bashiru ameacha funzo kubwa sana huko machame yaani kuomba msamaha pale upande wa pili unapokwazika na kauli za vijana wa CCM hata kama zilitafsiriwa ndivyo sivyo.
Dr Bashiru amemuombea msamaha Makonda .
Tumeshuhudia matusi mazito kwa Spika na Rais Magufuli karibu kila siku iendayo kwa Mungu kutoka kwa wabunge vijana wa Chadema na wafuasi wao mitandaoni lakini kamwe hutasikia wakikemewa na uongozi wa chama hiko au maaskofu kama Baba Askofu Shoo.
Dr Bashiru amefungua ukurasa mpya wa kukemea aghalabu hata kauli tata za wanaccm Je ni lini katibu au kiongozi wa chadema atasimama mbele ya umma au madhabahu kuwaombea msamaha kina Lissu,Sugu,Mdee,Bulaya na wengine kama kina Mdude?
Tuachane na double standards!!
Mbowe jifunze kuwakemea vijana wako wanaotoa matusi mtandaoni na bungeni ,usisubiri mpaka watekwe.