Elections 2010 Dk Batilda Burian kuwalipia vijana wote Arusha kodi ya nyumba wakimchagua

Elections 2010 Dk Batilda Burian kuwalipia vijana wote Arusha kodi ya nyumba wakimchagua

Heshima kwenu wakuu,

Jana Mama Batilda alikuwa na mkutano kata ya Kati nashindwa kuamini kama kweli siku za kawaida wagombea wanaweza kufanya mikutano miwili.Mikutano miwili au zaidi inawezekana kufanywa siku za week end,mazingira ya mjini watu wengi muda wa asubuhi na mchana wanakuwa kwenye miangaiko mikutano huanza saa 9 au 10 jioni.

Mama Batilda ana matatizo yake hizi habari za kumchomeka maneno ili kufurahisha jamvi hakika si zuri tujiepushe na siasa za kupakana matope bila sababu za msingi.
 
Nimesikia kuna mkakati kabambe wa kuiba kura hapa arusha, namwomba Ndg G. Lema na kamati nzima ya ushindi CHADEMA iweke mikakati madhubuti kwa siku hizi zilizosalia ili hata kura moja mwaka huu isiibwe au kuongeza kura feki, mwana Arusha mwenye simu ya Leme tupeane ili data tunazopata tuzitawanye kiurahisi.

Wataka no: ya simu ya G- Lema ili iweje umetumwa au???
 
Kuwalipia kodi ya nyuma my a** sasa huo ubunge anaung'ang'ania wa nini
 


Teh teh Wana JF,

Kwa akiri ya haraka haraka kabisa ni kuwa huyu Mgombea CCM jimbo la arusha mjini hukufafanua hilo la nyumba bure nacho dhani a ni kuwa mmoja atafanya mbinu zake esp kwenya swala la malipo ya kodi katka halmashauri hiyo kupunguza na watu kulipa kodi kwa bei ya chini sana na pili nilivyo mwelewa either kuna mradi unategemea kuanzisha hapo Mjini Arusha ambao wananchi wengi wa mji huo watafaidika na mradi huo wa majumba mapya na nina wasi wasi sana kama sio mradi wa PPF,NSSF au msaada kutoka Japani au China utatupiwa mkoani hapo sasa mama alisha ichungulia hiyo Deal

Tatu twasikia ati Manager Campaign wake aliye anza nae Mwalusamba -Mwenyekiti UVCCM - wilaya ya Arusha-Mjini katemwa kuwa manager Campaign na amewekwa mwingine.


NSSF/PPF hawagawi Nyumba, hizo nyumba zikishajengwa zinauzwa kwa wananchi kwa bei nafuu, na sio kila mtu anaaweza kupewa, lazima huwe na vigezo vinavyokubalika ili uweze kuuziwa hizo nyumba. Nyumba kama hizo pia zitakuwepo kigamboni, na tayari watu washaanza kufanya booking pale NSSF HQ [BWM Tower] Sasa mwenzangu na mimi ukichagua mtu kwa kusimamia ahadi hiyo utaula wa chuya. Huo sio mpango wa Mbunge bali ni wa NSSF. Sababu kuu ya kuwa wanaziuza hizo nyumba badala ya kupangisha ni kuepunga gharama za matengezo baada ya ujenzi kukamilika na pia itawasaidia wanaoishi kwenye hizo nyumba kuzitunza kwa kuwa tayari zitakuwa ni mali yao.
 
Wazee, vijana na akina mama wameshtuka na WAMEAPA ATAWATAMBUA SIKU YA TAREHE 31/10/2010 kama wao ni Mazezeta au watu na akili zao

La kuvunda halikosi ubani................
 
chuki binasi hazifai, hata godbless lema asie na kisomi chochote ila wizi tu, hawezi kuahidi hivyo let alone a learned person like dr.burian, msijichoshe ngojeni kipenga, wala kuogopa kuibiwa kura huko ni kuamini kuwa mmeshshindwa. haman mtu arusha mwenye akili timamu atampigia chadema afadhali tlp.
 


Teh teh Wana JF,

Kwa akiri ya haraka haraka kabisa ni kuwa huyu Mgombea CCM jimbo la arusha mjini hukufafanua hilo la nyumba bure nacho dhani a ni kuwa mmoja atafanya mbinu zake esp kwenya swala la malipo ya kodi katka halmashauri hiyo kupunguza na watu kulipa kodi kwa bei ya chini sana na pili nilivyo mwelewa either kuna mradi unategemea kuanzisha hapo Mjini Arusha ambao wananchi wengi wa mji huo watafaidika na mradi huo wa majumba mapya na nina wasi wasi sana kama sio mradi wa PPF,NSSF au msaada kutoka Japani au China utatupiwa mkoani hapo sasa mama alisha ichungulia hiyo Deal

Tatu twasikia ati Manager Campaign wake aliye anza nae Mwalusamba -Mwenyekiti UVCCM - wilaya ya Arusha-Mjini katemwa kuwa manager Campaign na amewekwa mwingine.


Tetesi ni kwamba, Kempski wamenunua eneo lote la makazi ya kijenge. Kinachotakiwa ni kuupiga chini mji wote wa kijenge ili yajengwe majengo ya hoteli hiyo ikiwa ni upanuzi wa iliyokuwa saba saba hotel. Hapo wanahirtji huyo mama ili asimamie urahisishaji wa kuwahamisha wakazi wa kijenge wakaanzishe mji mpya mahali nje ya mji.
Hivyo piga ua, CCM wanataka hilo jimbo. Lema ana kazi ya ziada hapo na sitashangaa Batilda kama atashinda....
 
Tetesi ni kwamba, Kempski wamenunua eneo lote la makazi ya kijenge. Kinachotakiwa ni kuupiga chini mji wote wa kijenge ili yajengwe majengo ya hoteli hiyo ikiwa ni upanuzi wa iliyokuwa saba saba hotel. Hapo wanahirtji huyo mama ili asimamie urahisishaji wa kuwahamisha wakazi wa kijenge wakaanzishe mji mpya mahali nje ya mji.
Hivyo piga ua, CCM wanataka hilo jimbo. Lema ana kazi ya ziada hapo na sitashangaa Batilda kama atashinda....

Sasa Hilo eneo ulilo liseama ni kijenge nadhani na kwa taaarifa nilizo zipata ni kuwa ni Eneo zima la kijenge lina support CHADEMA na CCM huko inavyosemekani itaambulia patupu sasa kama upinzani ni mkubwa na unaashiria fika kuwa CHADEMA inawafuasi wengi au ni hao hao pia na wanaCCM wamo kwakile kuwa wamechoshwa na Mbunge aliye pita F.Mrema kutotimiza ahadi za wana arusha na ndio wana Arusha sasa wamekigeukia chama tawala na kuwa support upinzani?

Ila kwa desturi ya Mji wa arusha kuchukuliwa na upinzani huwa ni rahisi sana hata zamani M/Kiti wa CCM Mara Mr. Makongoro Nyerere alivyolichukua jimbo la arusha akiwa na NCCR-Mageuzi kwahiyo kwa ufupi tuu kuwa CCM inaupinzani mkubwa Jimbo hilo la Arusha, Na kwahivyo wana litaka jimbo hilo hata kama kwakushindwa na kuiba kura ndio maana yake maana historia inajieleza kuwa watu wa Arusha wanaelewa nini maana ya Democrasia au ndio kile tukisikiacho kuwa siasa za CCM arusha huwa za Unafki,Ubinafsi, fitna na majungu saaaana nandio kinacho waponza CCM?? na Ndio maana huwa zifikapo chaguzi wao wanakuwa katika wakati mgumu sana

 
Back
Top Bottom