Yaani mambo ya ajabu kabisayaani mimi niende chato nikasome vitabu kwenye maktaba? masiara haya. na ile airport vipi, kuna ndege zinadondoka? maisha ni funzo. watanzania tusije kurudia makosa kuchagua haya majamaa yanayotembea na katambuga maporini, akili zao wanazijua wenyewe na ng'ombe zao.
Hakika, maktaba nyingi zimechoka sanaMkataba kubwa yenye hadhi ya kanda ya Africa wakati zile za mkoa zimekufa kwa kukosa ukarabati, maboresho na ubunifu ili tupate vitabu vya maana
Angeomba Kiwanda cha kuchakata na kusindika mazao wanayozalishaKama bado hujasema basi utasema, wanachato wanajengewa maktaba kubwa kabisa kama Ile ya makao makuu Dar es salaam. Serikali imeshaanza kumwaga mabilioni.
Hayo yamesemwa na mbunge wa Chato dk Kalemani wakati akitoa neno katika mkutano wa hadhara wa Makonda. Kalemani ameeleza kwamba, baada Rais kumuuliza anataka wanachato wafanyiwe nini, yeye aliomba wajengewe maktaba kubwa kabisa Afrika Mashariki
Hapa ndipo unahoji uelewa wa viongozi wetu. Hivi kweli chato unaenda kuwajengea maktaba ya mabilioni, unaijaza vitabu, ili nani akasome hivyo vitabu? Kweli hayo ndio mahitaji ya chato? Let's be serious, hivi kuna mwanachato aliwahi kulilia maktaba?
Asante Kalemani miaka 10 imekutosha 2025 mpishe Joseph J.M...naona familia sasa imekuchokaKama bado hujasema basi utasema, wanachato wanajengewa maktaba kubwa kabisa kama Ile ya makao makuu Dar es salaam. Serikali imeshaanza kumwaga mabilioni.
Hayo yamesemwa na mbunge wa Chato dk Kalemani wakati akitoa neno katika mkutano wa hadhara wa Makonda. Kalemani ameeleza kwamba, baada Rais kumuuliza anataka wanachato wafanyiwe nini, yeye aliomba wajengewe maktaba kubwa kabisa Afrika Mashariki
Hapa ndipo unahoji uelewa wa viongozi wetu. Hivi kweli chato unaenda kuwajengea maktaba ya mabilioni, unaijaza vitabu, ili nani akasome hivyo vitabu? Kweli hayo ndio mahitaji ya chato? Let's be serious, hivi kuna mwanachato aliwahi kulilia maktaba?
Unaweza kukuta Chato inakabiliwa na changamoto kubwa ya maji safi lakini mbunge wao bado haoni kuwa hicho ndicho kinapaswa kuwa ndiyo kipaumbele cha wananchi wake!Kama bado hujasema basi utasema, wanachato wanajengewa maktaba kubwa kabisa kama Ile ya makao makuu Dar es salaam. Serikali imeshaanza kumwaga mabilioni.
Hayo yamesemwa na mbunge wa Chato dk Kalemani wakati akitoa neno katika mkutano wa hadhara wa Makonda. Kalemani ameeleza kwamba, baada Rais kumuuliza anataka wanachato wafanyiwe nini, yeye aliomba wajengewe maktaba kubwa kabisa Afrika Mashariki
Hapa ndipo unahoji uelewa wa viongozi wetu. Hivi kweli chato unaenda kuwajengea maktaba ya mabilioni, unaijaza vitabu, ili nani akasome hivyo vitabu? Kweli hayo ndio mahitaji ya chato? Let's be serious, hivi kuna mwanachato aliwahi kulilia maktaba?
Tatizo letu ni kutazama leo na kudhani kuwa maisha yanaisha kesho. Huko KIlimanjaro panasifika kwa kuzalisha wasomi nchi, umeshajiuliza miaka ile ya sitini na sabini palikuwa katika hali gani kielimu?.Kama bado hujasema basi utasema, wanachato wanajengewa maktaba kubwa kabisa kama Ile ya makao makuu Dar es salaam. Serikali imeshaanza kumwaga mabilioni.
Hayo yamesemwa na mbunge wa Chato dk Kalemani wakati akitoa neno katika mkutano wa hadhara wa Makonda. Kalemani ameeleza kwamba, baada Rais kumuuliza anataka wanachato wafanyiwe nini, yeye aliomba wajengewe maktaba kubwa kabisa Afrika Mashariki
Hapa ndipo unahoji uelewa wa viongozi wetu. Hivi kweli chato unaenda kuwajengea maktaba ya mabilioni, unaijaza vitabu, ili nani akasome hivyo vitabu? Kweli hayo ndio mahitaji ya chato? Let's be serious, hivi kuna mwanachato aliwahi kulilia maktaba?
E-books haiondoi umuhimu wa kujenga maktaba au chuo kikuu. Dodoma hawajui umuhimu wa e-books?. Mbona kuna UDOM?.Unaweza kukuta Chato inakabiliwa na changamoto kubwa ya maji safi lakini mbunge wao bado haoni kuwa hicho ndicho kinapaswa kuwa ndiyo kipaumbele cha wananchi wake!
Katika ulimwengu wa e-books bado mbunge anataka ujenzi wa maktaba kubwa ya vitabu. Kwa hiyo "open cheque" aliyopewa angeliomba hata ujenzi wa chuo chenye hadhi ya kitaifa basi! Karaghabao!
Kule chato watu wanaojua kusoma hata robo hawafiki, wengi tabularasaTatizo letu ni kutazama leo na kudhani kuwa maisha yanaisha kesho. Huko KIlimanjaro panasifika kwa kuzalisha wasomi nchi, umeshajiuliza miaka ile ya sitini na sabini palikuwa katika hali gani kielimu?.
Na sio Chato penye kujengwa maktaba kubwa, upo mpango wa kujenga chuo kikuu kikubwa kule Bukoba.
Elimu siku zote inafungua eneo duni na kulipatia vijana wenye maono na ujeuri wa kutaka kulibadilisha kiuchumi.
Ndio wanaohitaji shule na maktaba nyingi ili waondokane na madhara ya ujinga.Kule chato watu wanaojua kusoma hata robo hawafiki, wengi tabularasa