SIDANGANYIKI2015
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,054
- 114
CCM wana madhambi yao, lakini huyu mama simpendi kabisa tabia yake. Toka pale alipoungana na madaktgari waliogoma ambapo watanzania wanyonge kwa dazani kadhaa walikufa huwa namuona hafai kabisa. Hana uzalendo. Ila naelewa kwanini anafanya hivyo. NGO hizi ni lazima ziwe hivyo kwani vinginevyo hazitapata fedha kutoka ulaya
Ndugu umeelewa lakini unachochangia?
Kuelewa mbona keshaelewa anachangia nini,Nayeye-ameuliza mpanju yule wa chama cha walemavu?.... Toa jibu kama huna jibu wacha mimi ni mjibu,Ndio huyoo huyooo Mpanju wa vyama vya walemavu.....Mpanju boya sana hatawezaje ongoza chama chake wakati familia yake imemshinda kawatelekeza watoto na mke-wake pale lufungira, kamwoa shemeji yake?.Mwovu kama huyu kwanini asitetee waovu wenzake ccM?.
Unamsema Mpanju yupi??, Yule wa CCM kwa tiketi ya wenye Ulemavu kwenye Katiba ya Chenge???
Ndio hilo hilo mkuu, kwani hata juzi nimemuona mlimani tv, linaongelea juu ya katiba pendekezwa, hadk linatia hasira, eti ktk katiba tano bora Africa na hii ya chenge itakuwemo!!! kweli huyu mtu zimo kweli?? na akikosolewa anakimbilia kwenye ulemavu wake kama defensive mechanism yake! kiboko yake ni Jusa.
Wewe inakuuma nini kwa Mlimani tv kusema hivyo? Kama hupendi basi na wewe fungua tv yako uweke huo ujinga wako, maana ukweli ulioongelewa mule ni kweli imetulia na itapita kwa kura nyingi za ndiyoNdio hilo hilo mkuu, kwani hata juzi nimemuona mlimani tv, linaongelea juu ya katiba pendekezwa, hadk linatia hasira, eti ktk katiba tano bora Africa na hii ya chenge itakuwemo!!! kweli huyu mtu zimo kweli?? na akikosolewa anakimbilia kwenye ulemavu wake kama defensive mechanism yake! kiboko yake ni Jusa.