Wakristo kwa kuamini porojo kiboko,
Naona wengi hapa jf wanasherehekea bila kujiuliza kilichomfanya Manyaunyau kuacha ugang, ni kwa sababu ameuelewa ukristol au nimazuazua aliyo yaona kwa kipindi kile?
Sitoshangaa baadae akaukana na huo ukristo kwa sababu kaingia sio kwa kuujua, kujifunza bali kwa mauzauza aliyo yaona, mauzauza hayo yanaweza kuwa yamesababishwa na uchawi/uganga umemrudia, matatizo ya akili au utapeli aliouandaa ili kujichotea mapesa kwa wafuasi mbumbumbu wasio hoji, kwa sababu kwao ukihoji unaonekana unamapepo.