124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,813
- 5,514
Nami pianamimi akikupatia naomba unitag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami pianamimi akikupatia naomba unitag
Mzee wangu mohammedi saidi.
naomba historia watawala wa zanzbar katika picha kutoka wa kwanza hadi wa mwisho na miaka yao ya utawala.
nilipata kusoma mahala kutoka kwako nadhani ila imenipotea.
kama utanisaidia link pia litakua jambo jema.
huwa nakuafuatilia sana.
kuna siku siku ulifanya kipindi na Yule Abasi wa Radio kheri ulinikosha sana.
Kituko,Hapo lazima atakudanganya, ataanza kukupa historia ya Masultan as if Zanzibar kulikuwa hakuna watu weusi wenye nchi yao ambayo ilichukuliwa na Mkoloni Mwarabu
Waarabu wameiua na kuifuta kabisa history ya Mtu mweusi, na hata ilipofikia hatua watu weusi kuchukua nchi yao kwa mapinduzi Matukufu waarabu weusi wako bize kupinga,
Hapo lazima atakudanganya, ataanza kukupa historia ya Masultan as if Zanzibar kulikuwa hakuna watu weusi wenye nchi yao ambayo ilichukuliwa na Mkoloni Mwarabu
Waarabu wameiua na kuifuta kabisa history ya Mtu mweusi, na hata ilipofikia hatua watu weusi kuchukua nchi yao kwa mapinduzi Matukufu waarabu weusi wako bize kupinga,
Umetumwa na Kardinali Pengo ???
Kituko,
Ikiwa mimi kama usemavyo ni muongo sasa ingependeza kama wewe
ukatuwekea hapa huo ukweli.
Hii dhana ya ''Mkoloni Mwarabu,'' ni chuki za kupandikizwa na watu nje
ya Zanzibar.
Ni tabu baada ya karne na karne hii leo kumpata huyo Muarabu ambae
wewe unaemkusudia kwa kuwa damu zimechanganywa sana.
Unapoleta hoja ya ''Mtu Mweusi,'' au ''Muarabu,'' ni kuleta fitna tu katika
jamii ya Kizanzibari.
Wala hakuna kitu, ''Muarabu Mweusi,'' Zanzibar.
Hayo mapinduzi ambayo wewe unayaita matukufu hayakufanywa na
Wazanzibari wenyewe bali yalitayarishwa Tanganyika na askari mamluki
waliovamia Zanzibar walitoka katika mashamba ya mkonge ya Sakura na
Kipumbwi Tanga.
Ndiyo maana hadi leo unaona CCM Zanzibar imeshindwa kushinda chaguzi
zote tano kuanzia 1995 kwa kuwa wananchi wanaijua historia yao na nini
wanataka katika nchi yao.
Wazanzibari wanataka mani na maelewano katika nchi yao si hizi fitna ambazo
wewe na mfano wa wewe kila uchao mnazipalilia.
Ningeweza kukueleza mengi lakini kwa sasa tusimame hapa.
Kaka kila siku huwa unalalamika kuhusu histori iliyofichwa ya Wazee wako wa Gerezani, ingekuwa pia Busara kwa wewe kupigania historia iliyofichwa ya Wazanzibar "Weusi"
Kuna vitu japo havijaandikwa mimi huwa siviamini
1: Sio kweli kuwa Waarabu walikuja weneywe hapa East Afican Cost, bali Watu weusi walishafika huko Arabuni wakipeleka Biashara, na Waarabu kwa kubahatisha bali walikuja kwa adress maalum
2: Sio kweli kuwa Waarabu kwa nguvu zao waliacha tembo wa Selou, Mikumi na hata Serengeti na kwenda kufata pembe na watumwa mpaka Congo, hao waarabu walikuwa wanafata njia zilizokuwepo za Wafanyabiashara wa Kibantu waliotoka huo ukanda wa Dar/Tanga, Singida, Tabora, Kigoma mpaka Congo
3: Huko kote walikokuwa wanapita walikuta Tawala zilizojitosheleza na zenye utaratibu wa kulipa kodi upo, iweje Zanzibar Waarabu wakute hakuna mtu?
Yapo mengi kaka, Waarabu hawana tofauti na awajeruman, Waingereza, Wafaransa, wote walikuwa Wakoloni tu, na Kama Tanganyika tulivyopata Uhuru wetu kutoka kwa Waingereza pia Wazanzibar walikuwa na haki ya Kupata Uhuru wao kutoka kwa Mkoloni Mwarabu
Kaka kila siku huwa unalalamika kuhusu histori iliyofichwa ya Wazee wako wa Gerezani, ingekuwa pia Busara kwa wewe kupigania historia iliyofichwa ya Wazanzibar "Weusi"
Kuna vitu japo havijaandikwa mimi huwa siviamini
1: Sio kweli kuwa Waarabu walikuja weneywe hapa East Afican Cost, bali Watu weusi walishafika huko Arabuni wakipeleka Biashara, na Waarabu kwa kubahatisha bali walikuja kwa adress maalum
2: Sio kweli kuwa Waarabu kwa nguvu zao waliacha tembo wa Selou, Mikumi na hata Serengeti na kwenda kufata pembe na watumwa mpaka Congo, hao waarabu walikuwa wanafata njia zilizokuwepo za Wafanyabiashara wa Kibantu waliotoka huo ukanda wa Dar/Tanga, Singida, Tabora, Kigoma mpaka Congo
3: Huko kote walikokuwa wanapita walikuta Tawala zilizojitosheleza na zenye utaratibu wa kulipa kodi upo, iweje Zanzibar Waarabu wakute hakuna mtu?
Yapo mengi kaka, Waarabu hawana tofauti na awajeruman, Waingereza, Wafaransa, wote walikuwa Wakoloni tu, na Kama Tanganyika tulivyopata Uhuru wetu kutoka kwa Waingereza pia Wazanzibar walikuwa na haki ya Kupata Uhuru wao kutoka kwa Mkoloni Mwarabu
Hivi kaka hauna kitu chochote kwenye kichwa chako zaidi ya mambo ya Kidini tu? Jaribu kubadirika kaka
Kituko ni "kubadilika" siyo "kubadirika." Hapana wewe ndiyo umefunga ubongo wako. Unajitisha na "bogey." Mimi nimeandika na "publishers" wengi na hakuna hata mmoja aliyenambia naandika dini. Ondoa hofu kaka.Hivi kaka hauna kitu chochote kwenye kichwa chako zaidi ya mambo ya Kidini tu? Jaribu kubadirika kaka
Kaka Kituko mimi silalamiki. Mimi naandika. Hujawa na elimu ya kutosha kujadili historia hii. Pinda mgongo usome kwanza.Kaka kila siku huwa unalalamika kuhusu histori iliyofichwa ya Wazee wako wa Gerezani, ingekuwa pia Busara kwa wewe kupigania historia iliyofichwa ya Wazanzibar "Weusi"
Kuna vitu japo havijaandikwa mimi huwa siviamini
1: Sio kweli kuwa Waarabu walikuja weneywe hapa East Afican Cost, bali Watu weusi walishafika huko Arabuni wakipeleka Biashara, na Waarabu kwa kubahatisha bali walikuja kwa adress maalum
2: Sio kweli kuwa Waarabu kwa nguvu zao waliacha tembo wa Selou, Mikumi na hata Serengeti na kwenda kufata pembe na watumwa mpaka Congo, hao waarabu walikuwa wanafata njia zilizokuwepo za Wafanyabiashara wa Kibantu waliotoka huo ukanda wa Dar/Tanga, Singida, Tabora, Kigoma mpaka Congo
3: Huko kote walikokuwa wanapita walikuta Tawala zilizojitosheleza na zenye utaratibu wa kulipa kodi upo, iweje Zanzibar Waarabu wakute hakuna mtu?
Yapo mengi kaka, Waarabu hawana tofauti na awajeruman, Waingereza, Wafaransa, wote walikuwa Wakoloni tu, na Kama Tanganyika tulivyopata Uhuru wetu kutoka kwa Waingereza pia Wazanzibar walikuwa na haki ya Kupata Uhuru wao kutoka kwa Mkoloni Mwarabu
Kaka Kituko mimi silalamiki. Mimi naandika. Hujawa na elimu ya kutosha kujadili historia hii. Pinda mgongo usome kwanza.
Kaka Kituko acha vituko.Asante kaka, pia usimdanganye jamaa aliyekuomba Historia ya Watawala wa Zanzibar nawe ukaanza na Wakoloni wa Kiarabu kiwa ndio wenye Zanzibar