Dk Slaa amchochea Lissu kuasi chadema

Hivi vipeperushi vyenu vya kufungia mihogo nani anavisoma,yaani kugombea uenyekiti ndiyo uasi? Hivi hawajui ndiyo wanazidi kumharibia Mbowe? Kitendo cha CCM na serikali yake kumsapoti Mbowe moja kwa moja kinamuondolea sifa ya kuchaguliwa tena.
 
Ndugu we bakiaga na Kina Netanyahu. Huku waachie wenyewe.
 
Ccm bhana!

Hivi mnajua ccm kuwepo kwenu hapo juu ni kuwalazimisha wananchi??

Hampendwi afadhari ya Mbowe

Mnakuja na vipeperushi vyenu vya kfungia mandazi kwa lengo la kumchafua anayetakiwa na si tu wanachadema, bali watanzania wengi

Aibu kwenu
 
Dr. Mihogo kashajichokea. CCM wamemtumia washamdamp sasa hivi anaweweseka pa kushika kisiasa.
Lissu anajimaliza zaidi kishirikiana na huyu Dr. Mihogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…