Dk. Slaa: Simba, Yanga bure kabisa

Hawa nao!!! wakiona hawaandikwi kwenye magazeti sijui wanajisikiaje? basi watatafuta jambo ilimradi tu waandikwe andikwe. Siasa mbaya hatari.
 
Hawa nao!!! wakiona hawaandikwi kwenye magazeti sijui wanajisikiaje? basi watatafuta jambo ilimradi tu waandikwe andikwe. Siasa mbaya hatari.
mkolajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, ulikua wapi mkuu jamvi lilikua linapauka maana jamvi bila watu laitwa sakafu
 
Hawa nao!!! wakiona hawaandikwi kwenye magazeti sijui wanajisikiaje? basi watatafuta jambo ilimradi tu waandikwe andikwe. Siasa mbaya hatari.
wewe ni mkolaji au mporaji?
 
mzee slaa wa ajabu sana anajadili mpira wakati hakucheza hata mpira wa matambala hakucheza.
interesting! Na hao wengine wanaojadili mpira akiwamo Manji mwenyekiti wa yanga walicheza hata UMISHUMITA!? Kaeleza ukweli na hatuna budi kuutafakari.

 
Kwani Dr slaa kasema uongo? ni kweli tupu
 
mbona chadema kinamika ishirini hata hiyo tv na jengo la makao makuu hawana.

Mkuu umenena! Aanze na boliti kwenye mboni yake kisha ataona vibanzi vya Yanga na Simba. Akigombea urais 2015 hapati kura yangu, kumbe mpuuzi hivi, sikujua!
 
Mkuu Amavubi tangu yanga watoe droo na wale wamakonde wa ntwara unaonekana umekita mizizi humu jamvin!!!!

Anafidia furaha aliyoikosa siku Simba walipocharazwa na Mbeya City, hakulala, alisimama kitandani usiku kucha.
 
Mkuu umenena! Aanze na boliti kwenye mboni yake kisha ataona vibanzi vya Yanga na Simba. Akigombea urais 2015 hapati kura yangu, kumbe mpuuzi hivi, sikujua!

Yawezekana ameanza kusoma alama za nyakati au labda anataka kuichukua nafasi ya Jamal Malinzi pale tifutifu.
 
yanga simba ni vilabu vikubwa jinga kuzipenda hivi vilabu uwe mtu kama mwendawazimu
 

Amavubi temea mate chini tafadhali.Sina nia na wala sijawahi kuwaza,kuota wala kuoteshwa kugombea nafasi yoyote ya uongozi wa kisiasa.Majukumu niliyonayo yananitosha.
 
Last edited by a moderator:

Kale kamstari ka mwanzo pale juu nakakakubali ndio maana ikiitwa "mwanasiasa" angalia pande zote
 


Kagesheki anajua ili iweje? Maana Malinzi na Kagasheki wametokea majimbo tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…