Dk Tulia 2025 huwezi kumshinda Sugu hata ufagie mabarabara yote ya Mbeya

Elimu hauitu saidii mkuu na imeshindwa kutu saidia tulipo watuma kusoma kumbe tuliwa tuma kujifunza kutuibia ndio hao hao

Wanatupaka Zia kesi
Wana tuambia utani fanya Nini?
Uongozi ni karama mkuu tuna taka watu wenye vipaji vya kutuongoza sio wasomi

Wasomi wanakwamisha mambo
πŸ™„πŸ™„πŸ™„ Huyu kwamba huyu 😱😱😱
 
Watu wapumbavu ndio watamchagua Sugu..

Yaani tulia alete mabarabara ya maana Jijini na miradi lukuki then watu waje kumchagua Sugu?

Itakuwa utaahira sasa
 
Wewe acha kuropoka,mwezi huu hauishi Kutakuwa na halfa ya kutoa saizi kuanza ujenzi hapo Mbeya just wait.

Tulia Ni Spika sio Sugu wa mtaani
 
Siku hawa nao wamekuwa na MAIGIZO mengi kweli kweli.

Kuna Boya mwingine wa Mtama alifanya hivi hivi.
 
Spika atampa Jimbo kingine sugu na mchezo utakua umeisha, then nyie mtabaki mnabishana hapa
 
Wewe acha kuropoka,mwezi huu hauishi Kutakuwa na halfa ya kutoa saizi kuanza ujenzi hapo Mbeya just wait.

Tulia Ni Spika sio Sugu wa mtaani
Haya ni maoni yangu ,na nimeona mwenyewe kinachofanyika pale T1 ,mlima nyoka hivyo hivyo wametengeneza detour na imetumika kuzima moto wa ile ajali ya DED then jiiiiiiii, back tulikotoka na kituko kingine RTO kila asubuhi anatumia kodi zangu vibaya kwa kuyasindikiza long distance buses ili kuepusha ushindani ndani ya ile pass,ilitakiwa aweke fixed time speed camera πŸ“Έ kwenye ile pass, CCM tutasubiri sana na wamewakuta mazuzu
 
Kwa Kweli kilichofanyika uchaguzi ulopita inasikitisha sana,
Kama dhuluma aisee duuh!
Halafu watu wanasema wanasali Eti wameokoka?! [emoji848]
 
Huko mlima nyoka Ni diversion tuu,hiyo section itajengwa Barabara ya Igawa-Mbeya ukianza Ila kwa Sasa wataanzia Nsalaga huko Hadi Airport.

Hayo unayoyasema waone wahusika wanaweza pokea ushauri.
 
Jitu nzima linakiri kulishwa chakula na linaona sawa!
Sijui lini mapunguani mtapungua nchi hii!
 
Jitu nzima linakiri kulishwa chakula na linaona sawa!
Sijui lini mapunguani mtapungua nchi hii!
Sja zungumzia kulishwa mkuu nazungumzia namna anavyo jitoa mwenye misiba hasa kwa familia zisizo jiweza

Kwa kugaramia chakula, mziki,na magari kwa ajiri ya misiba pale mbeya

Mitaani pia tuna kutana nae kwenye vijiwe vya mabao na drafts anacheza na wanainchi

Yaani Nimtu ambae yupo karibu mno na wanainchi kiasi ambacho nirahisi kuzijua kero za wanainchi
Nimtu asiye jikweza hutembea kwamguu husalimia na kuskiliza wanainchi wenye lolote mioyoni mwao

Vile vile Kuna kitu ameanzisha kinaitwa TURIA TRUST

Hapo watu hukopa kwa Liba nafuu kuanzia vijana wa boda boda kinamama na wakulima kitu ambacho sugu hajawi kufanya

Labda hukunielewa vizuri mkuu yote kwa yote πŸ™πŸ™πŸ™ kwa neno lako
 
Suku ni namba nyingine. Huyu cheusi dawa alipita kwa udhalimu wa jiwe tu
 
Kuna hofu sehemu 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…