Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi amesema hivi karibuni kuwa hakunakitazuia serikali ya mama Samia kufikisha watalii watalii milioni 5 ifikapo mwaka 2025.
Soma pia: Hongera Rais Samia Kuzindua Filamu ya Royal Tour Marekani, Ingenoga Zaidi Kama Mama Angetua Marekani na Dreamliner
Akizungumza Oktoba 28, 2024, katika Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC) jijini Dar es Salaam, Dkt. Abbasi aliwasilisha mada kuhusu mchango wa sekta ya utalii katika maendeleo ya Taifa kwa washiriki wa Kozi Fupi ya 13 kutoka nchi zaidi ya 20, hasa kutoka Afrika na Asia.
Ukienda maeneo kama Moshi bado kuna sehemu nyingi hata barabara za lami hazijafika. Hao watalii Milioni 5 watapita wapi?
Soma pia: Hongera Rais Samia Kuzindua Filamu ya Royal Tour Marekani, Ingenoga Zaidi Kama Mama Angetua Marekani na Dreamliner
Akizungumza Oktoba 28, 2024, katika Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC) jijini Dar es Salaam, Dkt. Abbasi aliwasilisha mada kuhusu mchango wa sekta ya utalii katika maendeleo ya Taifa kwa washiriki wa Kozi Fupi ya 13 kutoka nchi zaidi ya 20, hasa kutoka Afrika na Asia.
Kwa dunia ambayo miaka minne nyuma tulikuwa tumelizwa na athari za COVID this is a very bold statement to make! Ukienda maeneo kama Moshi bado kuna sehemu nyingi hata barabara za lami hazijafika. Hao watalii Milioni 5 watapita wapi?