Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulipa kodi ni sheria kwasababu unafanya kazi kwenye ardhi ya serikali. Pesa ambayo anapaswa kupewa mfanyakazi ni pesa ya NSSF tu, mbali na hapo save pesa zako. Kama husave unatumia pesa hovyo mwisho uanze kuililia serikali unaingia hasaraPia ni miongoni mwa upaishaji
Maana kama watalii watakuja kumtalii basi hawaji kumtalii bure lazima pesa itangia serekalini
Na ndo kumpanda kwa uchumi kwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kauli za Wana siasa wengine ni kama utahaira hivo vipimo vipya vya COVID19 mmetengeneza wenyewe Tanzania? au mmeomba wabadilishe? hao walio wapa vyenye Covid ndiyo walewale? na huyo aliye pima mapapai alikishikaje hicho kipimo kukiweka mpaka kika mpa majibu?Aidha, vipimo vya sasa vikitoa majibu vinaaminika zaidi kuliko vile vya awali ambavyo vilitoa majibu ya Mapapai na Mbuzi wakiwa wameathirika na virusi hivyo
Tungekua vizuri kiuchumi tunge ongeza mishahara ya WATUMISHI wa umma.Rais Magufuli anaipaisha Tanzania kiuchumi.
Kuna watu wengine wanapenda kutoa lawama hata kama hazikustahiliMkuu iwasadie kwa lipi? Wakati wanaenda kutafuta ajira huko private schools waliita serikali iwasaidie kusaini mikataba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wanalamba Kodi zao SasaMkuu iwasadie kwa lipi? Wakati wanaenda kutafuta ajira huko private schools waliita serikali iwasaidie kusaini mikataba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hats mwananchi asiye na ajira analambwa kodi mkuu,au hujui hili?Mbona wanalamba Kodi zao Sasa
Yani hii covid inaubaguzi sana.Mungu kwanini hawa wajinga wasipoteze hata mmoja mmoja ili watueleze ukweli.
Hadi Sasa imeondoka na watu wema tu waouvu ni wagumu kufaYani hii covid inaubaguzi sana.
Wanafundusha watoto wa WatanzaniaMkuu iwasadie kwa lipi? Wakati wanaenda kutafuta ajira huko private schools waliita serikali iwasaidie kusaini mikataba?
Sent using Jamii Forums mobile app
KenyaNchi gani hiyo wameshusha mshahara?
NDIOKati ya nchi zinazolipa mishahara ya haki kwa wafanyakazi na wao wanaweza kweli wakasimama mbele za watu na kujisifia?
Private sector itumie janga hili la corona kujitathmini!Nchi gani hiyo wameshusha mshahara? Walimu wa shule za private wameteseka hapa serikali ipo wapi kuwasaidia?