Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Amesema Dkt Albina Chuwa Mkurugenzi wa Takwimu. ameyaongea juzi tarehe 17/ 02/ 2020, Ninamnukuu;
“Hali ya umaskini wa kipato hapa nchini Mwaka 1991-92 ulikuwa Asilimia 39, 2007 umaskini ulikuwa asilimia 34, 2012 Asilimia 28.4 na 2018 hali ya umaskini likuwa 26.4, kasi ya kupungua umaskini hapa nchini inaenda kwa mwendo wa kasi”
Full text iko hapa:
bongo5.com
Swali:
Umaskini unapungua vipi wakati soko la bidhaa za nje limekufa? Ajira katika sekta binafsi zinakufa? Serikali imeshindwa kuajiri miaka 5? Mshahara bado watu wanapata aliouacha Kikwete?, Umaskini unapungua kwa maskini vipi? Wapambe mnampotosha Rais.
Wahitimu wako mitaani bila ajira, wakulima wa korosho kule Mtwara wamedhulumiwa pesa zao, wafanyabiashara wanaofunga biashara zao kila uchao, umasikini unapunguaje?
“Hali ya umaskini wa kipato hapa nchini Mwaka 1991-92 ulikuwa Asilimia 39, 2007 umaskini ulikuwa asilimia 34, 2012 Asilimia 28.4 na 2018 hali ya umaskini likuwa 26.4, kasi ya kupungua umaskini hapa nchini inaenda kwa mwendo wa kasi”
Full text iko hapa:
Hali ya Umaskini Tanzania yapungua kwa asilimia hizi, Mkurugenzi ofisi ya Takwimu Tanzania athibitisha hilo - Bongo5.com
Imeelezwa kuwa takwimu za hali ya umaskini wa kipato hapa nchini kwa mwaka 2017, zimepungua kwa kiasi kikubwa na kufikia asilimia 26. Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt Albina Chuwa Hayo yamebainishwa leo Februari 17, 2020 na Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dkt...
Swali:
Umaskini unapungua vipi wakati soko la bidhaa za nje limekufa? Ajira katika sekta binafsi zinakufa? Serikali imeshindwa kuajiri miaka 5? Mshahara bado watu wanapata aliouacha Kikwete?, Umaskini unapungua kwa maskini vipi? Wapambe mnampotosha Rais.
Wahitimu wako mitaani bila ajira, wakulima wa korosho kule Mtwara wamedhulumiwa pesa zao, wafanyabiashara wanaofunga biashara zao kila uchao, umasikini unapunguaje?