Chakulinga
Senior Member
- Oct 1, 2014
- 142
- 181
Amri ya 9? Hiyo itakuwa toleo jipya la bibliaTunadanganya mpaka Shetani anatamani kufuta ile Amri ya 9 kwenye Biblia ambayo inasema "Usiseme Uwongo"
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amri ya 9? Hiyo itakuwa toleo jipya la bibliaTunadanganya mpaka Shetani anatamani kufuta ile Amri ya 9 kwenye Biblia ambayo inasema "Usiseme Uwongo"
Acheni utapeliOmba ABC za uchumi kutoka kwa wachumi wakueleze vipimo/viashiria vya kupungua umasikini ni vipi ,hivyo ulivyotaja hata kimoja hakihusiki.
Nakupa mwangaza tu:
1. Kuongozeka kwa pato ghafi la taifa yaani Gross Domestic Product(GDP)
2. Ukuaji wa sekta isiyo rasmi yaani ujasiriamali
3. Uzalishaji viwandani na mashambani kuongezeka. Takwimu zinajieleza.
Tatizo CCM wao bado wako kwenye siasa zao za Ujima sijui Ujamaa... Siasa za North Korea.Tunadanganya mpaka Shetani anatamani kufuta ile Amri ya 9 kwenye Biblia ambayo inasema "Usiseme Uwongo"
Amesema Dkt Albina Chuwa Mkurugenzi wa Takwimu. ameyaongea juzi tarehe 17/ 02/ 2020, Ninamnukuu;
“Hali ya umaskini wa kipato hapa nchini Mwaka 1991-92 ulikuwa Asilimia 39, 2007 umaskini ulikuwa asilimia 34, 2012 Asilimia 28.4 na 2018 hali ya umaskini likuwa 26.4, kasi ya kupungua umaskini hapa nchini inaenda kwa mwendo wa kasi”
Full text iko hapa:![]()
Hali ya Umaskini Tanzania yapungua kwa asilimia hizi, Mkurugenzi ofisi ya Takwimu Tanzania athibitisha hilo - Bongo5.com
Imeelezwa kuwa takwimu za hali ya umaskini wa kipato hapa nchini kwa mwaka 2017, zimepungua kwa kiasi kikubwa na kufikia asilimia 26. Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt Albina Chuwa Hayo yamebainishwa leo Februari 17, 2020 na Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dkt...bongo5.com
Swali:
Umaskini unapungua vipi wakati soko la bidhaa za nje limekufa? Ajira katika sekta binafsi zinakufa? Serikali imeshindwa kuajiri miaka 5? Mshahara bado watu wanapata aliouacha Kikwete?, Umaskini unapungua kwa maskini vipi? Wapambe mnampotosha Rais.
Wahitimu wako mitaani bila ajira, wakulima wa korosho kule Mtwara wamedhulumiwa pesa zao, wafanyabiashara wanaofunga biashara zao kila uchao, umasikini unapunguaje?
kweli kabisaIdadi ya watu wanaoishi chini ya dola moja kwa siku kipindi hiki ni wengi sana
Kama nchi tulipita kipindi kigumu sana. Kweli Albina Chuwa kwa macho makavu alidanganya ili kumfurahisha MwendazakeChuwa kwanza ulipata karai kwenye chemistry, na statistics. Kuwa Director General ni ngekewa tu. Leo umesahau kuwa na wewe ni third class citizen
Sent using Jamii Forums mobile app
tumepita pagumu. Chuwa ninayemfahamu UDSM leo anasema sentensi kama hizo. Basi naye aende akasafishwe kaburi la chato kama Polepole alivyoshauriwaKama nchi tulipita kipindi kigumu sana. Kweli Albina Chuwa kwa macho makavu alidanganya ili kumfurahisha Mwendazake
Pia ingekua bora zaidi kama watu au Taasisi huru zisizo za kiserikali nazo kuja na takwimu mbadala kuchallenge hizo takwimu za serikali.Hivi hamuoni mpaka wametunga na sheria kabisa kuhalalisha uongo wao?
Hawa binaadam sio wa kawaida hawa.
Katika hali ya kawaida, baada ya kuweka uongo huo, wataalam mbalimbali wangejitokeza kuuchambua na kuupinga.
Sasa hivi ukijitia mjuaji unaishia kupewa kesi ya uhujumu uchumi.
Hili ndilo taifa wanalojenga hawa wazalendo.
Maana ya hizo sheria walizotunga ni kuondoa fursa hiyo ya kuhojiwa juu ya uongo wanaowaambia wananchi.Pia ingekua bora zaidi kama watu au Taasisi huru zisizo za kiserikali nazo kuja na takwimu mbadala kuchallenge hizo takwimu za serikali.
Kuna Sheria ya Takwimu ya mwaka 2019 nadhani inazuia mtu yeyote kuchakata Takwimu bila ruhusa ya Mtakwimu Mkuu wa Taifa, yaani Dr Albina ChuwaPia ingekua bora zaidi kama watu au Taasisi huru zisizo za kiserikali nazo kuja na takwimu mbadala kuchallenge hizo takwimu za serikali.
Kwaiyo wanazuiya tusipime uongo wao😆😆Kuna Sheria ya Takwimu ya mwaka 2019 nadhani inazuia mtu yeyote kuchakata Takwimu bila ruhusa ya Mtakwimu Mkuu wa Taifa, yaani Dr Albina Chuwa