Dkt. Albina Chuwa, Kauli yako kuhusu kupungua kwa umaskini ni kejeli kwa Watanzania

Acheni utapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunadanganya mpaka Shetani anatamani kufuta ile Amri ya 9 kwenye Biblia ambayo inasema "Usiseme Uwongo"
Tatizo CCM wao bado wako kwenye siasa zao za Ujima sijui Ujamaa... Siasa za North Korea.

Kama Umaskini unapungua si Watoe pia data za unemployment. Unemployment ni indicator kubwa sana na hali nzuri ya maisha ya raia. Ndiyo maana Trump yuko busy na hiyo indicator. Sasa ikija kwetu wa nazungumzia maeneo wanayotaka wao tu.
 
Msiwalaumu wenzenu wajamani. Vyeo vitamu ati....
Sent using Jamii Forums mobile app
 
PhD holder waliobaki nawaamini ni wale wa pale main campus na mazimbu pekee.
 
Chuwa kwanza ulipata karai kwenye chemistry, na statistics. Kuwa Director General ni ngekewa tu. Leo umesahau kuwa na wewe ni third class citizen

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nchi tulipita kipindi kigumu sana. Kweli Albina Chuwa kwa macho makavu alidanganya ili kumfurahisha Mwendazake
 
Kama nchi tulipita kipindi kigumu sana. Kweli Albina Chuwa kwa macho makavu alidanganya ili kumfurahisha Mwendazake
tumepita pagumu. Chuwa ninayemfahamu UDSM leo anasema sentensi kama hizo. Basi naye aende akasafishwe kaburi la chato kama Polepole alivyoshauriwa
 
Huyu mama apumzike sasa imetosha....arudi kulea wajukuu sasa
 
Pia ingekua bora zaidi kama watu au Taasisi huru zisizo za kiserikali nazo kuja na takwimu mbadala kuchallenge hizo takwimu za serikali.
 
Pia ingekua bora zaidi kama watu au Taasisi huru zisizo za kiserikali nazo kuja na takwimu mbadala kuchallenge hizo takwimu za serikali.
Maana ya hizo sheria walizotunga ni kuondoa fursa hiyo ya kuhojiwa juu ya uongo wanaowaambia wananchi.
 
Pia ingekua bora zaidi kama watu au Taasisi huru zisizo za kiserikali nazo kuja na takwimu mbadala kuchallenge hizo takwimu za serikali.
Kuna Sheria ya Takwimu ya mwaka 2019 nadhani inazuia mtu yeyote kuchakata Takwimu bila ruhusa ya Mtakwimu Mkuu wa Taifa, yaani Dr Albina Chuwa
 
Kuna Sheria ya Takwimu ya mwaka 2019 nadhani inazuia mtu yeyote kuchakata Takwimu bila ruhusa ya Mtakwimu Mkuu wa Taifa, yaani Dr Albina Chuwa
Kwaiyo wanazuiya tusipime uongo wao😆😆
 
Kwaiyo wanazuiya tusipime uongo wao😆😆
Yes. Hiyo ni Moja kati ya Sheria zaidi ya 10 ambazo zilitengenezwa kwa mfumo wa miscellaneous amendment kati ya mwaka 2015-20 ili kuifanya Tanzania ya Mwendazake full dictatorial state
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…