Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Siku hizi simuoni tena akivaaa skafu sijui uzalendo umeishia wapi
Uzalendo wake uliletwa na madaraka. Hujaona hawa wengine walioanza uzalendo wa kuhoji mikataba ya madini baada ya kupata madaraka makubwa zaidi, wakati siku zote w huko huko wakipitisha hiyo mikataba?