Siku hizi simuoni tena akivaaa skafu sijui uzalendo umeishia wapi
Wewe kenge wahi magogoni ukanywe chai na bwana wako anayekutuma.Mafile yako tunayo kuanzia ujinga uliofanya chuo mpaka ujinga unaofanya Kigoma kwa sasa tunasubilia mda wa kampeni jukwaani tukurarue ralue mpaka uone dunia chungu, siasa zako zifanyie uko uko vichochoroni ukija hapa JF tutakudharirisha dogo tutafunguka vitu ambavyo baba yako, mama yako mpaka boss wako havijui utashangaa vimejulikanaje tunakupa onyo koma kuja jifanya unajua andika andika mitandaoni tulia uko uko tutakudharirisha tumekupa hits tu kidogo, endelea jifanya unajua
Anaenda kasi awe tajiri mapema kwani wenzake waliokuwa kwenye siasa wamepiga hatua kubwa mbele. Siasa inalipa bwana. Hebu mcheki Prof. Muhongo , Prof Kabudi, Prof Ndalichako, yule wa kwanza baada ya kunogewa na uwaziri akaamua kugombea ubunge kwao Mara, na hata hawa wawili Kabudi na Ndalichako 2020 bila shaka nao watatia timu majimboni kuomba Ubunge kwani kurudi vyuoni kufundisha hakulipi. Usishangae yule Kabudi wa tume ya katiba sio huyu wa sasa kiakili ingawa mwili ni ule ule.Njaa mbaya jamani, mwenzenu anaganga njaa.
Tunamkanya dogo atulize wenge kiumri bado mdogo alafu hayupo safi kihivyo kwaiyo atulie atafute shughuli nyingine siasa haimfai asiwe kihele hele kunyoshea watu vidole ilihali naye hana maana