Dkt. Bashiru Ally na Polepole walilewa madaraka

Kutoka kusimamishwa siasa hadi kuwa Makamu mwenyekiti
 
Msiolewa madaraka nchi Iko mikononi mwenu.
Hizi story hazitusaidii for now.
Ilibidi useme na msiolewa madaraka mmefanyia nini Wananchi.
Mtashindia outdated news hazitusaidii alaaar.
 
kukuwa demokrasia ndiyo huko . Kwenye demokrasia ya kweli huwezi kupata kura 80%.... Upinzani kushinda inawezekana ni CCM kushindwa lakini nchi inakuwa mshindi


Dr Bashiru rudi kwa wanyonge usipofanya hivyo utafanya JPM atageuke kule chatto kaburini alipo. Mobilize wenzako wakiwepo Wabunge vimemo msaidie Taifa hili. Ukizubaa mwisho wa siku utakuwa useless kwani CCM ya sasa wamepania kuwafanya Watanzania wawaone mlikuwa Wajinga. Hebu onesheni uerevu na umahiri wenu basi.
 
Hapo alipo amekalia kuti kavu, muda wowote anatupwa.
Hana anachoweza kufanya tena. Hana pa kushika na hatakuwa na wa kumsikiliza.
CCM ni mafia si kwa upinzani tuu, bali hata kwa makundi ya ndani na mtu mmoja mmoja.
Anapaswa kushukuru Mungu kwa kuwa hai mpaka hapo alipo.
 

Siasa ni akili na Dr anazo za kutodha.
 
Mwambieni na lisu aacha uoga. Kufa atakufa tuu. Arud home amsaidie mbowe. Kila siku kulia Lia tu usalama wake Nan kamwambia kua ataishi milele.
Mkuu, ungeanzisha uzi wako, ambao ungeongelea haya uliyoandika! Thread imejitosheleza hiyo! Huna nauli, tembea kwa miguu, sio KUDANDIA ili ufike unakotaka kwenda!
 
Mwambieni na lisu aacha uoga. Kufa atakufa tuu. Arud home amsaidie mbowe. Kila siku kulia Lia tu usalama wake Nan kamwambia kua ataishi milele.
Wewe dada ukitishwa na mjusi unapiga kelelee acha kumuongelea mtu aliyepambania uhai wake mbele ya risasi Zaid ya 30.
 
hebu tusubiri hawa waliopo sasa tuone watatenda mema gani ili upinzani uingie madarakani
Kuishi na watu kwa haki na kuheshimu utu wao ni wema tosha hapa Duniani!!. Hawana usafi huo lakini Wana chembachembe za kuheshimu utu na haki za watu.
 
Nakubaliana na mtoa post hawa ndugu zetu waliokwenda mbali sana, sema Mhe Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama yetu mpendwa Samiah Suluhu Hassan amejaliwa roho ya utu sana asingekuwa na ubinadamu angewatimua ndani ya chama maana walitenda mambo kwa kulewa madaraka sana
 
Walidhan watakuwa viongozi milele ss hv wanaisoma namba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…