mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,412
- 3,419
Makamba anapata wapi Nguvu za kuihujumu serikali ya CCM kupitia hujuma Tanesco!Kukosoa kutokana na changamoto na matatizo na kuishauri serikali na viongozi sio jambo geni.
Ila inastaajabisha kuona mtu kama Bashiru anatishia Usalama wa kiongozi wa nchi. Anaongea kwa kujiamini mbele ya kadamnasi na vyombo vya habari kuwa Usalama wa viongozi hauko na uhakika na watishwe. Ni kana kwamba hii nchi iko mikononi mwake na haogopi vyombo vya sheria na dola (ambavyo aliwahi kudai angetumia kubaki madarakani utawala uliopita)
Lakini pia anachofanya ni kuchochea mapambano, uasi, na matumizi ya njia za kuumizana katika mifumk yetu ya kidemokrasia. Maandano ndio kitu kikubwa Tanzania kimewahi kufanyika na kuogopwa lakini sio KUTISHIA USALAMA WA VIONGOZI
Kwa hali ya kawaida mtu ambaye ni mgeni katika chama na kuhudumu katika serikali kwa muda mfupi kuwa na kiburi cha kutishia Usalama wa kiongozi wa nchi bila woga
Tumeshaona viongozi kadhaa wa upinzani tangu tunapata uhuru waliosumbua lakini hakuna ambaye amewahi kutishia Usalama wa Kiongozi wa nchi.
Tusilitazame ili jambo au kauli katika jicho la kisiasa tu
Nani yuko nyumba ya Bashiru? Je, ametokea kuropoka yaliyokuwa moyoni mwake siku zote au alidhamiria kuyatoa ? Kuna nguvu ya nje ya Tanzania yetu anayojivunia? Ana asili ya Uraia nje ya Tanzania?
Mwambieni huyo mamaenu hii nguvu aitumie kuleta umeme, maji na kupunguza makali ya maisha kuliko huu utaahira wenuBashiru na mjinga mmoja tu huwezi mtishia raisi kindezi hivyo. Mbona wakati akiwa na buyu la asali wakati wa jiwe hakuyasema haya? Kwani wakulima wa nchi hii lini walikuwa na afueni ya maisha?
Nami nauliza hivyohivyo ila sijapata jibu labda wakimaliza kutifuana wataweka hoja mezaniKwani Bashiru kasemaje?
Mkuu,Kukosoa kutokana na changamoto na matatizo na kuishauri serikali na viongozi sio jambo geni.
Ila inastaajabisha kuona mtu kama Bashiru anatishia Usalama wa kiongozi wa nchi. Anaongea kwa kujiamini mbele ya kadamnasi na vyombo vya habari kuwa Usalama wa viongozi hauko na uhakika na watishwe. Ni kana kwamba hii nchi iko mikononi mwake na haogopi vyombo vya sheria na dola (ambavyo aliwahi kudai angetumia kubaki madarakani utawala uliopita)
Lakini pia anachofanya ni kuchochea mapambano, uasi, na matumizi ya njia za kuumizana katika mifumk yetu ya kidemokrasia. Maandano ndio kitu kikubwa Tanzania kimewahi kufanyika na kuogopwa lakini sio KUTISHIA USALAMA WA VIONGOZI
Kwa hali ya kawaida mtu ambaye ni mgeni katika chama na kuhudumu katika serikali kwa muda mfupi kuwa na kiburi cha kutishia Usalama wa kiongozi wa nchi bila woga
Tumeshaona viongozi kadhaa wa upinzani tangu tunapata uhuru waliosumbua lakini hakuna ambaye amewahi kutishia Usalama wa Kiongozi wa nchi.
Tusilitazame ili jambo au kauli katika jicho la kisiasa tu
Nani yuko nyumba ya Bashiru? Je, ametokea kuropoka yaliyokuwa moyoni mwake siku zote au alidhamiria kuyatoa ? Kuna nguvu ya nje ya Tanzania yetu anayojivunia? Ana asili ya Uraia nje ya Tanzania?
Skiliza wewe, mwananchi analipa kodi, kodi hiyohiyo ndio Inayomlipa mshahara kiongozi, alafu kiongozi anatumia sehemu ya hiyo kodi kujenga shule nk, badala kiongozi awashukuru wananchi kwakuwa ndio wanaomlipa mshahara kwa kodizao" wewe unataka mwananchi apigemagoti kushukuru na kumsifia mtu anaemlipa mshahara!!!.Kwakuwa tu hupendi ukweli sio? Huo ndio ukweli, kila mtu huvuna alichopanda. Umekereka sana saga chupa unywe.
Ushuzi!!!mtu kutoa maoni unaita uhaini hv akili zenu zinakaa upande gani wa mwili!??Kukosoa kutokana na changamoto na matatizo na kuishauri serikali na viongozi sio jambo geni.
Ila inastaajabisha kuona mtu kama Bashiru anatishia Usalama wa kiongozi wa nchi. Anaongea kwa kujiamini mbele ya kadamnasi na vyombo vya habari kuwa Usalama wa viongozi hauko na uhakika na watishwe. Ni kana kwamba hii nchi iko mikononi mwake na haogopi vyombo vya sheria na dola (ambavyo aliwahi kudai angetumia kubaki madarakani utawala uliopita)
Lakini pia anachofanya ni kuchochea mapambano, uasi, na matumizi ya njia za kuumizana katika mifumk yetu ya kidemokrasia. Maandano ndio kitu kikubwa Tanzania kimewahi kufanyika na kuogopwa lakini sio KUTISHIA USALAMA WA VIONGOZI
Kwa hali ya kawaida mtu ambaye ni mgeni katika chama na kuhudumu katika serikali kwa muda mfupi kuwa na kiburi cha kutishia Usalama wa kiongozi wa nchi bila woga
Tumeshaona viongozi kadhaa wa upinzani tangu tunapata uhuru waliosumbua lakini hakuna ambaye amewahi kutishia Usalama wa Kiongozi wa nchi.
Tusilitazame ili jambo au kauli katika jicho la kisiasa tu
Nani yuko nyumba ya Bashiru? Je, ametokea kuropoka yaliyokuwa moyoni mwake siku zote au alidhamiria kuyatoa ? Kuna nguvu ya nje ya Tanzania yetu anayojivunia? Ana asili ya Uraia nje ya Tanzania?
Waambie hao mkuu naona vichwa majiBashiru ni tone tu, chungu kimejaa hadi juu na ndani yake kumejaa akina Bashiru kibao. Sasa mnaamua wenyewe kupambana na chungu ama kukikumbatia chungu
Kwani Bashiru kasemaje?
Nadhani wanamaanisha hii hapa:Nami nauliza hivyohivyo ila sijapata jibu labda wakimaliza kutifuana wataweka hoja mezani
Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Mpaka malkia wa Nyuki ametoka kwenye mzinga na kulazimika kuingia mtaani Singida!Hili kombora alilorusha Bashiru linaitwa nuclear limemsambaratisha kila mtu [emoji3]
Sijaona neno lolote la kutishia maisha ya mtu yeyote katika maneno ya Kakurwa !! Ndio maana huwa tunasema huko mahala watu wenye uwezo wa kupangua hoja kwa kutumia hoja hawapo kwa sasa !! Imebaki ni kutishana tu. !! Wabembelezeni wale wenye uwezo wa kupangua hoja warudi kambini maana mliwachefua wakaamua kukaa pembeni 😅😅 wawalipe na masumule ili yaishe !!Kwani Bashiru kasemaje?
Wananunua magari ya kifahali na misafara mirefu mpaka unashangaaKutokana na mambo ya hovyo ya sasa yanayofanywa kwa sasa ni bora usalama was viongozi uzidi kutishwa ili wabadilike na kutatua changamoto za wananchi.Hakuna maana kama wananchi hawana amani lakini viongozi wana kuwa na amani huku wanatapanya Mali za umma hovyo
Hongera mkuu sema ukweli na juzi kati hapa kuna mtu anaitwa maharage anasema umeme kutengamaa mpaka 2025 shuma mitiMakamba anapata wapi Nguvu za kuihujumu serikali ya CCM kupitia hujuma Tanesco!
Makamba anapata wapi uthubutu wa kuhujumu jitihada za wajasiriamali wa nchi hii kwa kuwakosesha Umeme ambao ni nguzo yao kuu ya ujasiriamali?
Nape anapata wapi nguvu ya kutuhujumu watanzania,kwa kukubali bahasha kutoka makampuni ya simu yakiongozwa na TIGO ya Rostam Aziz?
Msitumie muda na nguvu nyingi kupingana na wasema kweli!
Rubbish ...Kipindi cha Jiwe muli wadhurumu korosho wakulima munadhani tumesahau??? nyie wote maCCM ni MAVI tuu!!Kukosoa kutokana na changamoto na matatizo na kuishauri serikali na viongozi sio jambo geni.
Ila inastaajabisha kuona mtu kama Bashiru anatishia Usalama wa kiongozi wa nchi. Anaongea kwa kujiamini mbele ya kadamnasi na vyombo vya habari kuwa Usalama wa viongozi hauko na uhakika na watishwe. Ni kana kwamba hii nchi iko mikononi mwake na haogopi vyombo vya sheria na dola (ambavyo aliwahi kudai angetumia kubaki madarakani utawala uliopita)
Lakini pia anachofanya ni kuchochea mapambano, uasi, na matumizi ya njia za kuumizana katika mifumk yetu ya kidemokrasia. Maandano ndio kitu kikubwa Tanzania kimewahi kufanyika na kuogopwa lakini sio KUTISHIA USALAMA WA VIONGOZI
Kwa hali ya kawaida mtu ambaye ni mgeni katika chama na kuhudumu katika serikali kwa muda mfupi kuwa na kiburi cha kutishia Usalama wa kiongozi wa nchi bila woga
Tumeshaona viongozi kadhaa wa upinzani tangu tunapata uhuru waliosumbua lakini hakuna ambaye amewahi kutishia Usalama wa Kiongozi wa nchi.
Tusilitazame ili jambo au kauli katika jicho la kisiasa tu
Nani yuko nyumba ya Bashiru? Je, ametokea kuropoka yaliyokuwa moyoni mwake siku zote au alidhamiria kuyatoa ? Kuna nguvu ya nje ya Tanzania yetu anayojivunia? Ana asili ya Uraia nje ya Tanzania?
Alivunja sheria kwakuonesha nie yakugombeaYeye wakati anasurubu wenzake ( Membe et al) enzi hizo walikuwa wamevunja sheria gani?
🤣Bashiru amemwaga mafuta ya taa kwenye kichuguu majoka yameanza kuruka-ruka
Hakuna sheria kama hiyo ndugu. Usiishi kwa hisia.Alivunja sheria kwakuonesha nie yakugombea
Huenda katumwa na anao waongelea pia!Kukosoa kutokana na changamoto na matatizo na kuishauri serikali na viongozi sio jambo geni.
Ila inastaajabisha kuona mtu kama Bashiru anatishia Usalama wa kiongozi wa nchi. Anaongea kwa kujiamini mbele ya kadamnasi na vyombo vya habari kuwa Usalama wa viongozi hauko na uhakika na watishwe. Ni kana kwamba hii nchi iko mikononi mwake na haogopi vyombo vya sheria na dola (ambavyo aliwahi kudai angetumia kubaki madarakani utawala uliopita)
Lakini pia anachofanya ni kuchochea mapambano, uasi, na matumizi ya njia za kuumizana katika mifumk yetu ya kidemokrasia. Maandano ndio kitu kikubwa Tanzania kimewahi kufanyika na kuogopwa lakini sio KUTISHIA USALAMA WA VIONGOZI
Kwa hali ya kawaida mtu ambaye ni mgeni katika chama na kuhudumu katika serikali kwa muda mfupi kuwa na kiburi cha kutishia Usalama wa kiongozi wa nchi bila woga
Tumeshaona viongozi kadhaa wa upinzani tangu tunapata uhuru waliosumbua lakini hakuna ambaye amewahi kutishia Usalama wa Kiongozi wa nchi.
Tusilitazame ili jambo au kauli katika jicho la kisiasa tu
Nani yuko nyumba ya Bashiru? Je, ametokea kuropoka yaliyokuwa moyoni mwake siku zote au alidhamiria kuyatoa ? Kuna nguvu ya nje ya Tanzania yetu anayojivunia? Ana asili ya Uraia nje ya Tanzania?