Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NYIE UVCCM MBONA HUYU KIPINDI AKIWA MWENYEKITI WENU HAMKUMWAMBIA AJITAFAKARI KWA MATAMSHI YAKE ?UVCCM wamanza kwa kusema Dr. Bashiru ajitafakari.
Kwangu mimi naona hata ubunge wanaweza kumnyanganya maana directly ame m-attack Samia kwa kauli kuwa MVIWATA hawapashiwi kuwa wapambe wa kusifia eti kuupiga mwingi etc etc
Time will tell!
Huenda he is ready for the worse !! Come what may ! Che guevara alisema “ its better to die standing than to live kneeling “. !!UVCCM wamanza kwa kusema Dr. Bashiru ajitafakari.
Kwangu mimi naona hata ubunge wanaweza kumnyanganya maana directly ame m-attack Samia kwa kauli kuwa MVIWATA hawapashiwi kuwa wapambe wa kusifia eti kuupiga mwingi etc etc
Time will tell!
Kuwa na adabu, mimi niwe UVCCM!NYIE UVCCM MBONA HUYU KIPINDI AKIWA MWENYEKITI WENU HAMKUMWAMBIA AJITAFAKARI KWA MATAMSHI YAKE ?View attachment 2421256
He knows what might be the consequences! he is ready for that I guessHuenda he is ready for the worse !! Come what may ! Che guevara alisema “ its better to die standing than to live kneeling “. !!
Kabisa kabisa. !!He knows what might be the consequences! he is ready for that I guess
Ulihama lini?Kuwa na adabu, mimi niwe UVCCM!
UVCCM wameanza kwa kusema Dr. Bashiru ajitafakari.
Kwangu mimi naona hata ubunge wanaweza kumnyanganya maana directly ame m-attack Samia kwa kauli kuwa MVIWATA hawapashiwi kuwa wapambe wa kusifia eti kuupiga mwingi etc etc
Time will tell!
Nilikataa kwenda University enzi hizo eti mwenyekiti wa kijiji akupitishe kama una uzalendo. Nikaacha mapaka hapo upuuzi huo ulipoondoka. Sikuwahi kuifikiria ku join TANU Youth League/CCM/UVCCMUlihama lini?
Ndugai alikuwa na bado ni mtu mzima, ana elimu, alijua anachokisema sidhani kama alitegemea kuwa atalazimishwa kujiuzulu!Ni mtu mzima, Ana elimu yake na anajua alichosema, sidhani kama karopoka
Siku hizi watawala wana hofu ya watu wanaowakosoa na wenye mawazo tofauti.UVCCM wameanza kwa kusema Dr. Bashiru ajitafakari.
Kwangu mimi naona hata ubunge wanaweza kumnyanganya maana directly ame m-attack Samia kwa kauli kuwa MVIWATA hawapashiwi kuwa wapambe wa kusifia eti kuupiga mwingi etc etc
Time will tell!
Atubu sasa asije kuchelewa ka ma NdagayeUVCCM wameanza kwa kusema Dr. Bashiru ajitafakari.
Kwangu mimi naona hata ubunge wanaweza kumnyanganya maana directly ame m-attack Samia kwa kauli kuwa MVIWATA hawapashiwi kuwa wapambe wa kusifia eti kuupiga mwingi etc etc
Time will tell!
Dr Bashiru ni freemind, hategemei hisani kama uvccm. Ndio maana pamoja na kupewa ukatibu mkuu wa ccm na Magu ila bado alikuwa anaongea maneno yenye ukakasi mno dhidi ya ccm.
You must be crazy! Aliwahi sema lolote dhidi ya CCM? NEVER, A BIG NEVER! HAKUWAHI!Dr Bashiru ni freemind, hategemei hisani kama uvccm. Ndio maana pamoja na kupewa ukatibu mkuu wa ccm na Magu ila bado alikuwa anaongea maneno yenye ukakasi mno dhidi ya ccm.
I think so! Political suicide!Huyu kajipiga risasi
Alisema ccm inategemea dola ili ishinde. Au hukuwepo?You must be crazy! Aliwahi sema lolote dhidi ya CCM? NEVER, A BIG NEVER! HAKUWAHI!
Wao ndio wamempandisha kibwengoKipindi hiki kadandia mtumbwi wa vibwengo[emoji16]