HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Maana huyu baada ya msiba kuna mambo alikuwa engineer..I think so! Political suicide!
Yatafufuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana huyu baada ya msiba kuna mambo alikuwa engineer..I think so! Political suicide!
Tena ni kosa kweli kweli ! Ni ajabu sana. !!Siku hizi watawala wana hofu ya watu wanaowakosoa na wenye mawazo tofauti.
Yani siku hizi kukosoa ni kosa kweli.
Hicho chama kimejaa waovu wengi sana kwa hiyo ni lazima washambuulie mtu ambaye anamkosoa mwenye kichuguu. Hata kama wakiamua kumnyang'anya ubunge hakuna shida lakini wasimdhuru kwa namna yoyote.UVCCM wameanza kwa kusema Dr. Bashiru ajitafakari.
Kwangu mimi naona hata ubunge wanaweza kumnyanganya maana directly ame m-attack Samia kwa kauli kuwa MVIWATA hawapashiwi kuwa wapambe wa kusifia eti kuupiga mwingi etc etc
Time will tell!
Dr Bashiru ni freemind, hategemei hisani kama uvccm. Ndio maana pamoja na kupewa ukatibu mkuu wa ccm na Magu ila bado alikuwa anaongea maneno yenye ukakasi mno dhidi ya ccm.
KAMA maneno gani?Dr Bashiru ni freemind, hategemei hisani kama uvccm. Ndio maana pamoja na kupewa ukatibu mkuu wa ccm na Magu ila bado alikuwa anaongea maneno yenye ukakasi mno dhidi ya ccm.
Huyo Bashiru hata wakimdhuru ni sawa tu, ili avune uovu aliousimamia kwa wote waliokuwa wanamkosoa Magufuli.Hicho chama kimejaa waovu wengi sana kwa hiyo ni lazima washambuulie mtu ambaye anamkosoa mwenye kichuguu. Hata kama wakiamua kumnyang'anya ubunge hakuna shida lakini wasimdhuru kwa namna yoyote.
Dawa ya hicho chama pamoja na kwamba wana dola na kila kitu ni mwaka 2025 watajuta kusajiliwa.
Tafuta huu uzi una kumbukumbu nzuri tuHata siku moja, hakuwahi kuongea baya kuhusu CCM kipindi cha dhalimu, labda aliwaongea vibaya CCM Msoga gang maana ndio alichotoka kusikia Magufuli. Pale ndio Bashiru halisi na kiwango chake cha kulamba viatu kwa mgawa vyeo kilipoonekana. Yaani huyu Bashiru alikuwa anafuata chochote atakacho magufuli Hadi akawa kama mjinga.
Freemind wapi mbwa tu huyo, mbona kipindi cha mwenda zake alikuwa muimba ngonjela na mlamba mavi tu..Dr Bashiru ni freemind, hategemei hisani kama uvccm. Ndio maana pamoja na kupewa ukatibu mkuu wa ccm na Magu ila bado alikuwa anaongea maneno yenye ukakasi mno dhidi ya ccm.
Mbwa tena!! Kweli wagonjwa mpo wengi. Kula ubwabwa wako na kibua ukalale.Freemind wapi mbwa tu huyo, mbona kipindi cha mwenda zake alikuwa muimba ngonjela na mlamba mavi tu..
acheni kusifia maiti hai hizi!!
Ukizurula mitaani hususani tandale,temeke, manzese, mburahati, buza, mbagala na mikoani ndio utajua Magu aliiba kura au alipewa na wananchi.Huyo Bashiru hata wakimdhuru ni sawa tu, ili avune uovu aliousimamia kwa wote waliokuwa wanamkosoa Magufuli.
Hiyo 2025 unayosema ni kupoteza muda. Labda kama uongelee machafuko na sio box la kura. Magufuli alishatengeneza presidence ya kutoheshimu box la kura, na akasifiwa na waliofaidika na uhayawani ule. Hivyo 2025 mchezo utakuwa ni huohuo.
Hicho chama kimejaa waovu wengi sana kwa hiyo ni lazima washambuulie mtu ambaye anamkosoa mwenye kichuguu. Hata kama wakiamua kumnyang'anya ubunge hakuna shida lakini wasimdhuru kwa namna yoyote.
Dawa ya hicho chama pamoja na kwamba wana dola na kila kitu ni mwaka 2025 watajuta kusajiliwa.
Ukizurula mitaani hususani tandale,temeke, manzese, mburahati, buza, mbagala na mikoani ndio utajua Magu aliiba kura au alipewa na wananchi.
Huyo pimbi wa kihutu na yule chakubanga ndiyo walipiga sana hela ya kununua wapinzani uchwara,ni mnafiq sanaFreemind wapi mbwa tu huyo, mbona kipindi cha mwenda zake alikuwa muimba ngonjela na mlamba mavi tu..
acheni kusifia maiti hai hizi!!
UVCCM wameanza kwa kusema Dr. Bashiru ajitafakari.
Kwangu mimi naona hata ubunge wanaweza kumnyanganya maana directly ame m-attack Samia kwa kauli kuwa MVIWATA hawapashiwi kuwa wapambe wa kusifia eti kuupiga mwingi etc etc
Time will tell!
Je CCM haiwezi kukosolewa na Mwanaccm?UVCCM wameanza kwa kusema Dr. Bashiru ajitafakari.
Kwangu mimi naona hata ubunge wanaweza kumnyanganya maana directly ame m-attack Samia kwa kauli kuwa MVIWATA hawapashiwi kuwa wapambe wa kusifia eti kuupiga mwingi etc etc
Time will tell!