Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: CCM imefanya kampeni za kistaarabu

Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: CCM imefanya kampeni za kistaarabu

ila tuseme tu ukweli CCM watu hawaipendi kulingana na maisha yalivokua magumu ila tu hawana namna !

ni kama una baba mkoloni pale maskani sasa kwa sababu ulijikuta ndio ndingi yako unajikuta hauna namna.

ndio maana Watanzania walio wengi wako tayari anglau wajaribu upande wa pili hata kama jamaa akiuza Nchi au akaamua kila Mtanzania awe shoga sawa tu ila tu wajaribu na penyewe waone huenda vyuma vikaregea 🤸‍♀️
 
CCM imepanga kufanya Wizi mkubwa sana wa Kura Bara na Visiwani
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Huyu Mhutu ajiandae kurudi Burundi baada ya uchaguzi.
Tena afukuzwe haraka sana,Bashiru na Polepole wamemoa mgombea wao kazi kubwa ya kujinadi kwa wapiga kura,waana walikiaminisha chama kuwa upinzani umekufa,baada ya kufanya ununuzi kwa Malaya wa kisiasa.
CCM kutoka kuwa chama tawala hadi kuwa chama cha mabango,fiesta ,kupiga magoti Hadi kusomba watu ili wakaongeze vichwa.
 

Attachments

  • IMG_20201019_154752.jpg
    IMG_20201019_154752.jpg
    207.9 KB · Views: 1
Back
Top Bottom