Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena alisisitiza atake asitake lazima wamuongezeeRejea kauli ya ndugai wanahitaji 2/3 ili column itimie
NEC wamepewa jukumu la kuhakikisha hawaendi bungeni ili Bunge lijae vilaza wa ndiyooooooooo!!!!!!Wabu
Wabunge ndugai wabunge wa hovyo hovyo wasirudishwe bungeni.
Safari hii cdm Ina wagombea wengi vijana shupavu
NEC Ni watumishi ambao nao maslai yao hayajaboreshwa hivyo watauhujumu maagizoNEC wamepewa jukumu la kuhakikisha hawaendi bungeni ili Bunge lijae vilaza wa ndiyooooooooo!!!!!!
Watapewa offer ambayo hawawezi kuikataa. Wakipewa m200 kila mmoja watachomoa? Hera zipo.NEC Ni watumishi ambao nao maslai yao hayajaboreshwa hivyo watauhujumu maagizo
Mswahili mbele ya pesa Ni sawa na mkate kwa chaiWatapewa offer ambayo hawawezi kuikataa. Wakipewa m200 kila mmoja watachomoa? Hera zipo.
Na huu ndo mkakati wa magufuli wa nyuma ya pazia. Ni kuhakikisha anawafanya NEC wawapitishe wagombea wengi wa Ccm bila kupingwa ili akidi ya bungeni itimie bara na visiwani ili kibaraka wake ndugai apitishe hoja ya watu wake wachache wakiungwa mkono na mzee Mwinyi kuwa Tuweke katiba pembeni magufuli atawale hadi atakaposema basi!!NEC wamepewa jukumu la kuhakikisha hawaendi bungeni ili Bunge lijae vilaza wa ndiyooooooooo!!!!!!
The mess being created by the electoral commission under CCM influence is casting a shadow of doubt to any thinking mind. What is all this mess for? They promised the international community and the general public a free and fair election but yet they are still messing with it. These people are not credible and can not be trusted. It is easy to be believed by anybody that, they are preparing a platform to enable them change the presidential service period.Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiwa Chato wakati wa kuwanadi wagombea wa CCM ameonya kwamba kuna wazushi wanasema kwamba CCM inatafuta viti vingi vya Ubunge ili wakiingia Bungeni wabadili Katiba ili Rais Magufuli aongezewe muda.
Ameongeza kwamba Rais Magufuli anaomba miaka mitano mingine na muda wake ukiisha basi hataongeza hata sekunde moja ya utawala.
Dkt. Bashiru amesema:
"Mgombea wetu wa Urais Dkt. Magufuli anaomba kura kwa ajili ya kipindi chake cha pili, akimaliza hapo hataongeza hata sekunde. Uvumi kwamba kupitia wingi wa wabunge wa CCM atabadilisha Katiba ili aendelee kuongoza, ni uongo. Upuuzeni"
Wahutu ni wakatili na waongo sana.BASHIRU MUONGO MWAKA 2018 ALISEMA HAWATATUMIA WASANII KWENYE KAMPENI ZAO MWAKA 2020 FIESTA KILA KONA.
Akirudi Tena atatutesa Sana check anavyowatesa watumishi eti sababu walimpigia kura Lowasa Mambo ya 2015 bado ana visasi navyo. Sembuse Leo watz wanajaa mikutano ya Lisu mjiandae kwa visasi milele, kimara tu alibomoa nyumba zao eti walimchagua lowasa. Pamebomolewa mita 120 panapojengwa hata mita 70 hazifiki Sasa Hawa wa mita 50 kwann aliwabomolea.
Huwa nashangaa Sana kuona polisi na wakurugenzi wanajipendekeza kwa mtu asiyejali maslai yao.
👆🏽👆🏽Mbona CCM haiwakemei wanachama wake wanaoisukuma hoja hii!!
Pia Spika wa Bunge alimwambia Mbunge Kessy kuwa hiyo ni hoja ya Bunge lijalo!!
Yupi kati ya hawa makada wa CCM tumwamini sasa?