johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Tatizo wewe hauko bungeni!Huo utakuwa mgogoro mpya na utaenda kueleta kishindo kikubwa sana tutaomba kuwe na referendum na tuwe na chombo huru kitakacho simamia hizo kura zetu....
Tumuombe Mungu hilo jaribio lisijekutokea so far Katibu Mkuu ameweka wazi na Mzee naye ameahidi hatajiongezea muda.Tatizo wewe hauko bungeni!
Pensheni yangu inanitosha bwashee!Bwashee JF wanakulipa kwa hizi posts unazotuma? Maana wenzio wanatumia mitandao ya jamii kujiongezea vipato
Ufipa sio hospitali na Dr vicent alivyogundua sio hospitali akasepaDr Slaa alikuwa anatibu?
Ili kumaliza kabisa huu Utata ni kwanini Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais Dk. Magufuli asiitishe tu Press na alisemee hili kwa Msisitizo ulio Kamili?Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amekanusha uvumi unaoenezwa na wapinzani kwamba wabunge wa CCM watatumia wingi wao bungeni ili kumuongezea Rais Magufuli muda wa kukaa madarakani iwe zaidi ya miaka 10.
Dr Bashiru amesema Rais Magufuli atahudumu madarakani kwa miaka 10 kwa mujibu wa katiba ya sasa na kwamba propaganda za wapinzani hasa Chadema zipuuzwe.
Nawatakia ninyi nyote Dominica yenye baraka!
Maendeleo hayana vyama!
Hivi kwani upinzani bado ipo,huo siulishafutwaa,ama huu nao ni upinzani wa kisayansi.Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amekanusha uvumi unaoenezwa na wapinzani kwamba wabunge wa CCM watatumia wingi wao bungeni ili kumuongezea Rais Magufuli muda wa kukaa madarakani iwe zaidi ya miaka 10.
Dr Bashiru amesema Rais Magufuli atahudumu madarakani kwa miaka 10 kwa mujibu wa katiba ya sasa na kwamba propaganda za wapinzani hasa Chadema zipuuzwe.
Nawatakia ninyi nyote Dominica yenye baraka!
Maendeleo hayana vyama!
Kwani sasa kuna mgogoro.Huo utakuwa mgogoro mpya na utaenda kueleta kishindo kikubwa sana tutaomba kuwe na referendum na tuwe na chombo huru kitakacho simamia hizo kura zetu.
Hii nchi ina watu smart hawawezi kujaribu kufanya hilo jambo kama watu wangekuwa wanajiongezea tuu tungempata wapi yeye?
Kwani wewe uko wapi?Mlikuwa nawe wapi aliookuwa anayasema hayo??
Mpya kwa maana hakujawahi kutokea kitu kama hiko...."UNPRECEDENTED "Kwani sasa kuna mgogoro.
....tutaomba kuwe na referendum na tuwe na chombo huru cha kusimamia kura zetu.Huo utakuwa mgogoro mpya na utaenda kueleta kishindo kikubwa sana tutaomba kuwe na referendum na tuwe na chombo huru kitakacho simamia hizo kura zetu.
Hii nchi ina watu smart hawawezi kujaribu kufanya hilo jambo kama watu wangekuwa wanajiongezea tuu tungempata wapi yeye?
Hata kama wingi usipotumika nafahamu uwepo wa sayansi.....tutaomba kuwe na referendum na tuwe na chombo huru cha kusimamia kura zetu.
MAAJABU HAYATAISHA DUNIANI.
Chombo huru kama Marekani?....tutaomba kuwe na referendum na tuwe na chombo huru cha kusimamia kura zetu.
MAAJABU HAYATAISHA DUNIANI.
Hata wapinzani sio wa kuwaamini. Kumbuka kuna mwenyekiti aliebadilisha katiba ya chama chake ili aendelee kutawala milele, pia wapo wengine ni wenyeviti wa vyama vyao toka mwaka 95 mpk leo.Ccm sio wa kuwaani sana maana shein alishawahi kuzidisha muda
Nadhani unawazungumzia Lipumba, Mbowe na Mbatia!Hata wapinzani sio wa kuwaamini. Kumbuka kuna mwenyekiti aliebadilisha katiba ya chama chake ili aendelee kutawala milele, pia wapo wengine ni wenyeviti wa vyama vyao toka mwaka 95 mpk leo.
Marekan hii hii ambayo amiri jeshi mkuu na pia raisi wa nchi analia lia kuibiwa kura na wapinzani wasiokuwa na vyeo vyovyote serikalini!Chombo huru kama Marekani?