beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema Wabunge na Madiwani wa CCM kutoenguliwa ni suala la kutii Sheria na kufuata Sheria.
Amesema, "Uchaguzi katika nchi zote unasimamiwa na Sheria na Kanuni. Tuna vitengo vya Sheria vinavyozunguka na kutowaruhusu Wagombea wetu wa ngazi yeyote kujaza fomu bila kuhakikiwa"
Ameongeza kuwa, suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi chenye mabalozi zaidi ya 250,000 ambao kazi yao kubwa ni kusimamia ushindi wa Chama.
Sikiliza mahojiano yake na BBC hapa:
Bashiru Ally: Uhuru ni kama njaa ukila unahitaji kula zaidi - BBC News Swahili
Amesema, "Uchaguzi katika nchi zote unasimamiwa na Sheria na Kanuni. Tuna vitengo vya Sheria vinavyozunguka na kutowaruhusu Wagombea wetu wa ngazi yeyote kujaza fomu bila kuhakikiwa"
Ameongeza kuwa, suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi chenye mabalozi zaidi ya 250,000 ambao kazi yao kubwa ni kusimamia ushindi wa Chama.
Sikiliza mahojiano yake na BBC hapa:
Bashiru Ally: Uhuru ni kama njaa ukila unahitaji kula zaidi - BBC News Swahili