Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Wagombea wa CCM kutoenguliwa ni suala la kutii Sheria

Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Wagombea wa CCM kutoenguliwa ni suala la kutii Sheria

Hapo ni kwamba tume imetii sheria za CCM, period!
 
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema Wabunge na Madiwani wa CCM kutoenguliwa ni suala la kutii Sheria na kufuata Sheria.

Amesema, "Uchaguzi katika nchi zote unasimamiwa na Sheria na Kanuni. Tuna vitengo vya Sheria vinavyozunguka na kutowaruhusu Wagombea wetu wa ngazi yeyote kujaza fomu bila kuhakikiwa"

Ameongeza kuwa, suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi chenye mabalozi zaidi ya 250,000 ambao kazi yao kubwa ni kusimamia ushindi wa Chama.

Sikiliza mahojiano yake na BBC hapa:
Bashiru Ally: Uhuru ni kama njaa ukila unahitaji kula zaidi - BBC News Swahili
Nilisikia majibu yake. Majibu haya yangalitolewa na PoleX2 ningelielewa siyo kutoka kwa mtu anayeitw Doctor - PhD holder. Kama ni hivyo, basi doctorate ya hapa Tz. ninawasiwasi nayo. Ma-PhD holder wetu wanapwaya sana.
 
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema Wabunge na Madiwani wa CCM kutoenguliwa ni suala la kutii Sheria na kufuata Sheria.

Amesema, "Uchaguzi katika nchi zote unasimamiwa na Sheria na Kanuni. Tuna vitengo vya Sheria vinavyozunguka na kutowaruhusu Wagombea wetu wa ngazi yeyote kujaza fomu bila kuhakikiwa"

Ameongeza kuwa, suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi chenye mabalozi zaidi ya 250,000 ambao kazi yao kubwa ni kusimamia ushindi wa Chama.

Sikiliza mahojiano yake na BBC hapa:
Bashiru Ally: Uhuru ni kama njaa ukila unahitaji kula zaidi - BBC News Swahili
Mpuuzi huyo bashiru. Akili za kudako hizi
 
Katika Chaguzi zote toka 1995, mwaka huu

1. CCM ina viongozi dhaifu, hawana ushawishi.

2. CCM ina wagombea wasio na ushawishi.

3. CCM dhaifu kuliko maelezo.

Sababu ni hizi.

1. Inatumia wazi wazi Dola kujinufaisha bila kificho wala aibu.

2. NEC inawabeba kwa maamuzu yasiyo na mashiko.

3. Wakurugenzi wanafanya hila waziwazi dhidi ya vya upinzani.

Mwaka 2020 CCM ni dhaifu dhaifu dhaifu kwa kuwa ni wazi WANAOGOPA UCHAGUZI ndio maana mwaka jana waliharibu uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
Pascal Mayalla, ndiye msomi wa hovyo kuliko hoa wote! Maana hao wengine tayari wameokotwa Jalalani. Paskali akiokotwa Jalalani anaweza akaamua kutembea uchi kabisaaa.
#pascal mayalla
 
Sheria zipi?
Tune wamekata kutoa ahadi wakti za kampeni.
Mgombea wa bashiru yeye abatoa ahadi na anatekeleza akiwa kwenye kampen.
 
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema Wabunge na Madiwani wa CCM kutoenguliwa ni suala la kutii Sheria na kufuata Sheria.

Amesema, "Uchaguzi katika nchi zote unasimamiwa na Sheria na Kanuni. Tuna vitengo vya Sheria vinavyozunguka na kutowaruhusu Wagombea wetu wa ngazi yeyote kujaza fomu bila kuhakikiwa"

Ameongeza kuwa, suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi chenye mabalozi zaidi ya 250,000 ambao kazi yao kubwa ni kusimamia ushindi wa Chama.

Sikiliza mahojiano yake na BBC hapa:
Bashiru Ally: Uhuru ni kama njaa ukila unahitaji kula zaidi - BBC News Swahili
Kwa mbinu ovu kama hizi hata huko kwao Rwanda wameshindwa kuwa na amani
 
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema Wabunge na Madiwani wa CCM kutoenguliwa ni suala la kutii Sheria na kufuata Sheria.

Amesema, "Uchaguzi katika nchi zote unasimamiwa na Sheria na Kanuni. Tuna vitengo vya Sheria vinavyozunguka na kutowaruhusu Wagombea wetu wa ngazi yeyote kujaza fomu bila kuhakikiwa"

Ameongeza kuwa, suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi chenye mabalozi zaidi ya 250,000 ambao kazi yao kubwa ni kusimamia ushindi wa Chama.

Sikiliza mahojiano yake na BBC hapa:
Bashiru Ally: Uhuru ni kama njaa ukila unahitaji kula zaidi - BBC News Swahili
"Takwimu zao zinaonyesha hakuna dalili yoyote kwa Mgombea wa Chama cha Meko full kupata hata asilimia 40 ya kura. Chama cha Meko full wameshakata tamaa na ushindi. Kwa msingi huo wamepangwa kumtangaza Mgombea wa Chama Cha Meko full usiku wa manane.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ndiyo aina ya wasomi tulio nao Tanzania, Bashiru, Kabudi, Lipumba, Kitila Mkumbo, Paschal Mayala, Polepole n.k wengine wengi, badala ya kusimamia ukweli na kulisadia taifa anaweka njaa zake mbele zaidi, walikuwa wanahubiri vitu ambavyo leo wao wenyewe wanaona aibu hata kuvikumbuka. Shame on them
Mzee kwa kuwa hawasemi tu kile unachokitaka basi ni wapumbavu dah hizi ni dharau kubwa sana kwa hyo wasomi wote wako chadema tuu kwa kuwa hao ndiyo wanasena unachokita wewe.hii ni judgement ya kimasikini sana na ya mtu asiyesoma.maana hao unaosema hwana njaa pamoja na kupata ruzuku lakin wameshindwa kujenga hata ofisi zao wenyewe hao unaoona wa akili akili zao unazozi appreciate kiasi hicho wamefanya nini cha maana.tuheshimu taaluma za watu jaman hapo ulipo hata form four uli fail uka reseat bado yamekushinda leo hii unakuja kuongelea taaluma za watu kipuuzi hvyo kuwa na adabu mzee
 
Kwanza tumchague Lisu na CHADEMA wagombea wote waliopo.

Tukiingia ikulu, tuna teua baraza la mawaziri wote ccm, halafu baada ya kuwaapisha tunalivunja.

Tukafanye uchaguzi wa wabunge, wale waliopita bila kupingwa watafia huko huko.
 
Mzee kwa kuwa hawasemi tu kile unachokitaka basi ni wapumbavu dah hizi ni dharau kubwa sana kwa hyo wasomi wote wako chadema tuu kwa kuwa hao ndiyo wanasena unachokita wewe.hii ni judgement ya kimasikini sana na ya mtu asiyesoma.maana hao unaosema hwana njaa pamoja na kupata ruzuku lakin wameshindwa kujenga hata ofisi zao wenyewe hao unaoona wa akili akili zao unazozi appreciate kiasi hicho wamefanya nini cha maana.tuheshimu taaluma za watu jaman hapo ulipo hata form four uli fail uka reseat bado yamekushinda leo hii unakuja kuongelea taaluma za watu kipuuzi hvyo kuwa na adabu mzee
Mpuuzi wewe una nini zaidi ya kukaa kwa shemeji yako, maendeleo kwako ni kufika form 4, jinga kweli wewe na form 4 yako umefanya nini? babu mzima huna hata akili, wewe una taaluma ngani mwenda wazimu nn?
 
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema Wabunge na Madiwani wa CCM kutoenguliwa ni suala la kutii Sheria na kufuata Sheria.

Amesema, "Uchaguzi katika nchi zote unasimamiwa na Sheria na Kanuni. Tuna vitengo vya Sheria vinavyozunguka na kutowaruhusu Wagombea wetu wa ngazi yeyote kujaza fomu bila kuhakikiwa"

Ameongeza kuwa, suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi chenye mabalozi zaidi ya 250,000 ambao kazi yao kubwa ni kusimamia ushindi wa Chama.

Sikiliza mahojiano yake na BBC hapa:
Bashiru Ally: Uhuru ni kama njaa ukila unahitaji kula zaidi - BBC News Swahili
Kama Bashiru amebadilika na kuwa hivyo alivyo unadhani wananchi hawawezi kubadilika na kwenda kupiga kura ya kumtoa magufuri madarakani?
 
Hata kama tukitukana lakini hii issue ni muhimu kuifanyia kazi GRASSROOTS ni muhimu katika mikakati yote ya UShindi. Wenzetu wakipata viti wanahamia kwenye mitandao na kujenga mijini wakisubiri wakati wa uchaguzi ndo warudi kule. Kuna mgombea mmoja ambaye alisema kuwa aliomba wenzie wakawekeze kwenye mashina lakini walimpinga kichizi
Wasiliana na ubongo wako tena, vituko hivi vimetokea kipindi hiki tu.
Nigeria kimewaka huko mambo hayahaya ya kutanguliza njaa mbele.
 
Mpuuzi wewe una nini zaidi ya kukaa kwa shemeji yako, maendeleo kwako ni kufika form 4, jinga kweli wewe na form 4 yako umefanya nini? babu mzima huna hata akili, wewe una taaluma ngani mwenda wazimu nn?
Fala wewe eti form four ndo nimejua akili yako matupu huna unalojua zaidi ya chuki tu yaan wewe hata kama umesoma ni umeikomboa elimu syo wewe kukombolewa na elimu mfu kabsaa
 
Back
Top Bottom