Inawezekana Bashirui ni kazi Maalumu" Dr. Bashiru ana akili zaidi ya hizi anazozionyesha akiwa kwenye majukwaa ya CCM " By Tundu Lissu
Pascal Mayalla, ndiye msomi wa hovyo kuliko hoa wote! Maana hao wengine tayari wameokotwa Jalalani. Paskali akiokotwa Jalalani anaweza akaamua kutembea uchi kabisaaa.Hawa ndiyo aina ya wasomi tulio nao Tanzania, Bashiru, Kabudi, Lipumba, Kitila Mkumbo, Paschal Mayala, Polepole n.k wengine wengi, badala ya kusimamia ukweli na kulisadia taifa anaweka njaa zake mbele zaidi, walikuwa wanahubiri vitu ambavyo leo wao wenyewe wanaona aibu hata kuvikumbuka. Shame on them
Mkuu alisema anateua vichaa wenzie, huenda JPM aligundua Bashiru ana kichaa pia.Inawezekana Bashirui ni kazi Maalumu
Huyu jamaa sio ninaemfahamu
Totally nonsenseKatibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema Wabunge na Madiwani wa CCM kutoenguliwa ni suala la kutii Sheria na kufuata Sheria.
Amesema, "Uchaguzi katika nchi zote unasimamiwa na Sheria na Kanuni. Tuna vitengo vya Sheria vinavyozunguka na kutowaruhusu Wagombea wetu wa ngazi yeyote kujaza fomu bila kuhakikiwa"
Ameongeza kuwa, suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi chenye mabalozi zaidi ya 250,000 ambao kazi yao kubwa ni kusimamia ushindi wa Chama.
Sikiliza mahojiano yake na BBC hapa:
Bashiru Ally: Uhuru ni kama njaa ukila unahitaji kula zaidi - BBC News Swahili
Njaa kama jina lakePascal Mayalla, ndiye msomi wa hovyo kuliko hoa wote! Maana hao wengine tayari wameokotwa Jalalani. Paskali akiokotwa Jalalani anaweza akaamua kutembea uchi kabisaaa.
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema Wabunge na Madiwani wa CCM kutoenguliwa ni suala la kutii Sheria na kufuata Sheria.
Amesema, "Uchaguzi katika nchi zote unasimamiwa na Sheria na Kanuni. Tuna vitengo vya Sheria vinavyozunguka na kutowaruhusu Wagombea wetu wa ngazi yeyote kujaza fomu bila kuhakikiwa"
Ameongeza kuwa, suala la kukosea haliwezekani kwasababu CCM ni Chama cha Kitaasisi chenye mabalozi zaidi ya 250,000 ambao kazi yao kubwa ni kusimamia ushindi wa Chama.
Sikiliza mahojiano yake na BBC hapa:
Bashiru Ally: Uhuru ni kama njaa ukila unahitaji kula zaidi - BBC News Swahili
Pascal ni Msomi sasa? Msomi hujipambanua Kwa hoja zake. Pascal anajenga hoja kama mwanaKazura Mimba utamwita Msomi? Msomi hutetea taaluma yake hayumbishwi na njaa.Pascal Mayalla, ndiye msomi wa hovyo kuliko hoa wote! Maana hao wengine tayari wameokotwa Jalalani. Paskali akiokotwa Jalalani anaweza akaamua kutembea uchi kabisaaa.
Unamaanisha kiazi hikihiki kinacho TAFUNWA?Kule kwetu Bashiru maana yake ni kiazi!
Dawa ya mnafiki ni kumpuuzaHawa ndiyo aina ya wasomi tulio nao Tanzania, Bashiru, Kabudi, Lipumba, Kitila Mkumbo, Paschal Mayala, Polepole n.k wengine wengi, badala ya kusimamia ukweli na kulisadia taifa anaweka njaa zake mbele zaidi, walikuwa wanahubiri vitu ambavyo leo wao wenyewe wanaona aibu hata kuvikumbuka. Shame on them