Pre GE2025 Dkt. Biteko: Kule Bukombe tuliwahi kuchagua Wapinzani tunaelewa madhara yake, nawasihi wananchi wote chagueni CCM

Pre GE2025 Dkt. Biteko: Kule Bukombe tuliwahi kuchagua Wapinzani tunaelewa madhara yake, nawasihi wananchi wote chagueni CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sawa.Lakini kwa watu wenye akili timamu wanaweza kumuuliza:
"Wabunge wa CCM ni takribani 100% kwa idadi bungeni.Je, kuna tija yoyote?".
Naelewa wazi rais Samia hatawabeba wabunge wazembe wa CCM kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Niaminini mimi.
Nakubaliana na wewe kabisa.
Najua hayupo kihivyo but..this is too low...
I dont think kama nitakuja kutega sikio ili kusikia chochote kutoka kinywani mwake...tuchunge sana matamshi yetu...huwa najiuliza sana kwa nini Mungu ameamua kutupa watu wa aina hii kutuongoza?
 
Sawa.Lakini kwa watu wenye akili timamu wanaweza kumuuliza:
"Wabunge wa CCM ni takribani 100% kwa idadi bungeni.Je, kuna tija yoyote?".
Naelewa wazi rais Samia hatawabeba wabunge wazembe wa CCM kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Niaminini mimi.
Kutwa wanagonga meza hakuna la maana
 
Kama huyu ndiye naibu waziri mkuu, basi tumepigwa.

Huyu mwalimu wa shule ya msingi Biteko hana kitu kichwani kabisa. Ama kweli ccm hutoa vyeo kwa mbumbumbu.

Hivi amewahi kuongea cha maana huyu? Wapi? Na lini?
Huyu naibu PM ni low mind. Haelewi hata majukumu ya nafasi bandia aliyopewa. Ni afadhali angepewa ukatibu mwenezi wa chama maana huko hakuhitaji akili isipokuwa kelele za kuwasema wapinzani.
 
Yuko sahihi kwa kiasi fulani. Tulikuwa na wabunge wa upinzani, ukafika wakati wakawa wanapinga kila kitu, mpaka miradi ya maendeleo kwenye majimbo yao wenyewe; eti kazi ya upinzani ni kupinga! Upuuzi mtupu.
Wajinga sana hawa wapinzani. Mwingine leo kaamka anapinga wajumbe wa Kamati ya Uhamasishaji Timu ya Taifa. Sijui Wana akili za Masaburi????
 
..madhara ya utawala wa CCM toka tupate uhuru Doto Biteko hayaoni? au kwasababu anatembelea V-8 na kuishi ktk majumba ya kifahari?

Ataishukuru sana sana CCM kwa sababu ndiyo iliyomwezesha kula rushwa kwenye madini bila bugdha, na kuwapora watu leseni zao na kumkabidhi mtusi mwenzake Evarii asimamie mapato yake haramu, halafu kwa unafiki mkubwa kila baada ya meneno machache kunukuu vifungu vya biblia kuwahadaa watu aonekane ni mtu wa haki. Tunaufahamu uovu wake wote. Muda ukifika, kila kitu kitawekwa wazi.
 
Watatengwa kama Mbeya.Toka tumewaweka pembeni Wapinzani maendelea ya Mkoa Sasa ni kemkem.

Ni ujinga kuchagua Wapinzani ambao hawawezi kushika Dola then sijui watakuwa wanatekelezaje Ilani.
Another brain bankrupt, amechangia ujinga wake kwa maana ndiyo pekee kilichopo kichwani mwake. Hawezi kuchangia asicho nacho.
 
Another brain bankrupt, amechangia ujinga wake kwa maana ndiyo pekee kilichopo kichwani mwake. Hawezi kuchangia asicho nacho.
Uchague mpinzani ambae chama chake hakiwezi kushika Dola Ili asimamie Ilani ya nani?

Ruksa kabisa kuwatenge watu wa hivyo
 
Naibu Waziri mkuu Dr Biteko amesema uchaguzi wa serikali za mitaa uko Karibu hivyo Wananchi wajipange kufanya uamuzi wa busara wa kuichagua CCM

Dr Biteko amewashukuru Wananchi wa Mbogwe kwa kuichagua CCM miaka tote, " Kule Bukombe tuliwahi kuchagua Wapinzani tunaelewa madhara yake" amesisitiza Naibu Waziri mkuu

Source: Upendo TV
Kumbe huyo Mheshimiwa na yeye anaakili za hivo.
 
Yuko sahihi kwa kiasi fulani. Tulikuwa na wabunge wa upinzani, ukafika wakati wakawa wanapinga kila kitu, mpaka miradi ya maendeleo kwenye majimbo yao wenyewe; eti kazi ya upinzani ni kupinga! Upuuzi mtupu.
Wanapinga kwa maneno tu, mtekelezaji ni CCM, msitake visingizio, kwa miaka mitano,majinbo yote ni ya CCM, kuna tofauti gani? Kwani wawakilishi wa CCM wanakunya pesa, kwenye majimbo yaliyokuwa Chini ya CCM, maendeleo hayakupelekwa ili kuwakomoa wananchi kwa kuchagua upinzani, kama jimbo likiwa na mpinzani, "maendeleo hayatokei" Je serikali huwa na Kodi haikusanyi kwenye hayo majimbo? Kama ili endelea kukusanya,zinapelekwa wapi?
Blood fucken Doto biteko
 
Naibu Waziri mkuu Dr Biteko amesema uchaguzi wa serikali za mitaa uko Karibu hivyo Wananchi wajipange kufanya uamuzi wa busara wa kuichagua CCM

Dr Biteko amewashukuru Wananchi wa Mbogwe kwa kuichagua CCM miaka tote, " Kule Bukombe tuliwahi kuchagua Wapinzani tunaelewa madhara yake" amesisitiza Naibu Waziri mkuu

Source: Upendo TV
Hivi huyu naye anajiona ana mchango wo wote kwenye siasa za nchi hii!
 
Yuko sahihi kwa kiasi fulani. Tulikuwa na wabunge wa upinzani, ukafika wakati wakawa wanapinga kila kitu, mpaka miradi ya maendeleo kwenye majimbo yao wenyewe; eti kazi ya upinzani ni kupinga! Upuuzi mtupu.
Sasa hakuna wapinzani bungeni Kuna Nini kinaendelea sasa
 
Back
Top Bottom