Dkt. Chamliho alitenguliwa Ujenzi ili Prof. Mbarawa akarahisishe ya Dubai Port?

Dkt. Chamliho alitenguliwa Ujenzi ili Prof. Mbarawa akarahisishe ya Dubai Port?

Mnada wa Mhunze

Senior Member
Joined
Mar 1, 2023
Posts
168
Reaction score
819
Sasa naanza kuamini aliyekuwa waziri wa miundombinu Dkt. Chamliho alitenguliwa makusudi ili mwenye mamlaka aweke mtu atakaye mmudu ili iwe rahisi kufanya hayo ya waarabu.

Duru zinadai Dkt. Chamliho alivimbisha shingo kwa kumkatalia bi tozo kuhusu mkataba ule mwanzoni kabisa kuwa haufahi na ilikuwa kinyume na sheria na hapo zengwe la yeye kufutwa uwaziri lilipojiri.

Ama kweli bwana kila jambo litukialo huwa na jambo fiche.
 
Mama songa mbele, usisikilize wapumbavu hawa. Hawatoelimika, hawatonyamaza, hawatoona, hawatosikia, hawatohisi katika ngozi zao, hawatoondoa hisia hasi dhidi yenu hata mfanye nini, hawatokaa wawatakie kheri hata ya sekunde mbili abadan. We songa mbele!!
 
Dr Chamliho ndiyo nani wewe?

Hapo inaonyesha dhahiri kwamba hulijui hata hilo uliloliandikia, ni majungu kwa kwenda mbele.
 
Hivi unatakiwa uwe na pesa kiasi gani ndio utaridhika? Ukizingatia unaishi katika nchi masikini, sio Las Vegas.
 
Sasa naanza kuamini aliyekuwa waziri wa miundombinu Dk Chamliho alitenguliwa makusudi ili mwenye mamlaka aweke mtu atakaye mmudu ili iwe rahisi kufanya hayo ya waarabu

Duru zinadai Dk Chamliho alivimbisha shingo kwa kumkatalia bi tozo kuhusu mkataba ule mwanzoni kabisa kuwa haufahi na ilikuwa kinyume na sheria na hapo zengwe la yeye kufutwa uwaziri lilipojiri.

Ama kweli bwana kila jambo litukialo huwa na jambo fiche
Ndio maana yake hawa ni wa kuwaondoa mapema
 
Mama songa mbele, usisikilize wapumbavu hawa. Hawatoelimika, hawatonyamaza, hawatoona, hawatosikia, hawatohisi katika ngozi zao, hawatoondoa hisia hasi dhidi yenu hata mfanye nini, hawatokaa wawatakie kheri hata ya sekunde mbili abadan. We songa mbele!!
Asonge mbele kukopa na kuuza bandari yetu, mkuu..umechanganyikiwa au
 
Sasa naanza kuamini aliyekuwa waziri wa miundombinu Dk Chamliho alitenguliwa makusudi ili mwenye mamlaka aweke mtu atakaye mmudu ili iwe rahisi kufanya hayo ya waarabu

Duru zinadai Dk Chamliho alivimbisha shingo kwa kumkatalia bi tozo kuhusu mkataba ule mwanzoni kabisa kuwa haufahi na ilikuwa kinyume na sheria na hapo zengwe la yeye kufutwa uwaziri lilipojiri.

Ama kweli bwana kila jambo litukialo huwa na jambo fiche
Sikuwahi amini uwezo au uzalendo wa viongozi walioteuliwa na yule Aliyetembea. Na hao vijana waliopo wataishia kuja kuwa viongozi wa kumfanania Stone aliyewateua.
 
Sasa naanza kuamini aliyekuwa waziri wa miundombinu Dk Chamliho alitenguliwa makusudi ili mwenye mamlaka aweke mtu atakaye mmudu ili iwe rahisi kufanya hayo ya waarabu

Duru zinadai Dk Chamliho alivimbisha shingo kwa kumkatalia bi tozo kuhusu mkataba ule mwanzoni kabisa kuwa haufahi na ilikuwa kinyume na sheria na hapo zengwe la yeye kufutwa uwaziri lilipojiri.

Ama kweli bwana kila jambo litukialo huwa na jambo fiche
mtakufa kwa kihoro kwa uongo
 
Sasa naanza kuamini aliyekuwa waziri wa miundombinu Dk Chamliho alitenguliwa makusudi ili mwenye mamlaka aweke mtu atakaye mmudu ili iwe rahisi kufanya hayo ya waarabu

Duru zinadai Dk Chamliho alivimbisha shingo kwa kumkatalia bi tozo kuhusu mkataba ule mwanzoni kabisa kuwa haufahi na ilikuwa kinyume na sheria na hapo zengwe la yeye kufutwa uwaziri lilipojiri.

Ama kweli bwana kila jambo litukialo huwa na jambo fiche
Mama anafikiri hijab na uislaam wake unaweza kuletea nchi upendeleo toka uarabuni. Anakosea sana. Hijab na uislaam wake waarabu wanajua atawapa wao manufaa sio wao kutoa manufaa. Hakuna wajomba duniani.
Tunapofikiria ya bandari tusisahau ya loliondo.
 
Kuna aliyehamisha kila kitu akapeleka rwanda na burundi, machine za kuchakata dhahabu, mabwawa ya umeme, na kusogeza wanyama karibu na inchi hizo kuanzisha mbuga ziwe karibu na burundi na rwanda yaani tumshkuru mungu vinginevyo leo tungekuwa tunatawaliwa na warundi na wanyarwanda hapa
Tukazane tuondoe na hawa waliopo waliobakia ndio wanataka kuleta fujo warudi kwa nguvu, hamurudi ng'o
 
Sasa naanza kuamini aliyekuwa waziri wa miundombinu Dkt. Chamliho alitenguliwa makusudi ili mwenye mamlaka aweke mtu atakaye mmudu ili iwe rahisi kufanya hayo ya waarabu.

Duru zinadai Dkt. Chamliho alivimbisha shingo kwa kumkatalia bi tozo kuhusu mkataba ule mwanzoni kabisa kuwa haufahi na ilikuwa kinyume na sheria na hapo zengwe la yeye kufutwa uwaziri lilipojiri.

Ama kweli bwana kila jambo litukialo huwa na jambo fiche.
Hiki ndicho wabongo tunachokiweza. Kuzipa habari vichwa vya uongo tunavyovibuni sisi wenyewe.
 
Mama anafikiri hijab na uislaam wake unaweza kuletea nchi upendeleo toka uarabuni. Anakosea sana. Hijab na uislaam wake waarabu wanajua atawapa wao manufaa sio wao kutoa manufaa. Hakuna wajomba duniani.
Tunapofikiria ya bandari tusisahau ya loliondo.
Mpuuzi wewe ondokana na mawazo ya kishetani haya, yanakuongezea mzigo wa dhambi zisizo na sababu.

Kwa hiyo JPM nae alitakiwa apunguze ukatoliki wake. Ni akili za kitoto sana kutazama kila kitu katika fikra za kidini.

Bandari imeongozwa na sisi wa huku bara tangu uhuru, kipi cha maana tumefanikisha?.

Mnakuja na hoja za kipumbavu za kidini ili kumjengea chuki kwa watu wenye upeo mdogo wa kufikiri kama nyinyi ambao kwa bahati mbaya nchi hii inao wengi.
 
mtakufa kwa kihoro kwa uongo
Chamuliho aliondolewa kwa kupuuza hoja za kitaalam alizoshauriwa na mkurugenzi mmoja wa mamlaka iliyokuwa chini yake, huyu akitaka kumjengea chuki kwa wananchi kaamua kuja na hoja zake zilizofilisika.
 
Sasa naanza kuamini aliyekuwa waziri wa miundombinu Dkt. Chamliho alitenguliwa makusudi ili mwenye mamlaka aweke mtu atakaye mmudu ili iwe rahisi kufanya hayo ya waarabu.

Duru zinadai Dkt. Chamliho alivimbisha shingo kwa kumkatalia bi tozo kuhusu mkataba ule mwanzoni kabisa kuwa haufahi na ilikuwa kinyume na sheria na hapo zengwe la yeye kufutwa uwaziri lilipojiri.

Ama kweli bwana kila jambo litukialo huwa na jambo fiche.
Ndio una jingine?
 
mtakufa kwa kihoro kwa uongo
Achana nao wajinga na wadini wakubwa hao. Tegemea kila jambo la mama walipinge; pekee ambacho hawatokaa wamlaumu huyu mama ni kama akikubali sera za ushoga tu basi kutoka kwa mabwana zao wazungu.
 
Mpuuzi wewe ondokana na mawazo ya kishetani haya, yanakuongezea mzigo wa dhambi zisizo na sababu.

Kwa hiyo JPM nae alitakiwa apunguze ukatoliki wake. Ni akili za kitoto sana kutazama kila kitu katika fikra za kidini.

Bandari imeongozwa na sisi wa huku bara tangu uhuru, kipi cha maana tumefanikisha?.

Mnakuja na hoja za kipumbavu za kidini ili kumjengea chuki kwa watu wenye upeo mdogo wa kufikiri kama nyinyi ambao kwa bahati mbaya nchi hii inao wengi.
Mungu atampigania kwa hila hizi zinazopangwa wazi na hawa maadui zake; ni wa kuwapuuza tu!!
 
Back
Top Bottom