Dkt. Chana atangaza wanaowania tuzo za muziki 2022

Dkt. Chana atangaza wanaowania tuzo za muziki 2022

Kitu kidgo Kama hicho..hadi waziri atangaze...
Wasipowachukulia serious mnasema serikali haitoi support,waziri wa utamaduni Sanaa na michezo anakuja front mnabeza.Ulitaka aje nani kutangaza tunzo za wasanii wetu.
 
Wampe Tuzo ya Heshima Diamond Platnumz kazi anayoifanya ni zaidi ya Wizara yote ya michezo na mwisho wa siku anapiga hela sio haya mawizara yanakula pesa tu na chamaana hamna!
 
Kitu kidgo Kama hicho..hadi waziri atangaze...
Very pretty, low price profile minister, hio ni ya afsa habari na mahusiano, au, afsa masoko. Tuna mawaziri mazwazwa sana hio ni infringement ya kijinga sana.
 
Very pretty, low price profile minister, hio ni ya afsa habari na mahusiano, au, afsa masoko. Tuna mawaziri mazwazwa sana hio ni infringement ya kijinga sana.
Halafu siku ya kugawa Tuzo waziri huyo huyo aliyetangaza anakuwa mgeni wa rasmi
 
Back
Top Bottom