Dkt. Charles Kitima na Dkt. Slaa wote wamewahi kuwa Makatibu wa TEC haya ndiyo maoni yangu kuhusu waraka wa TEC

Dkt. Charles Kitima na Dkt. Slaa wote wamewahi kuwa Makatibu wa TEC haya ndiyo maoni yangu kuhusu waraka wa TEC

Mpangawangu

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
887
Reaction score
965
Nimesoma tamko la TEC

Kwanza tamko limesomwa na mtu mmoja bila kuwepo na askofu mwingine yeyote.

Aliyesoma na kuandika tamko amekuwa miongoni mwa watu wanaopinga mkataba wa bandari kwa nyakati tofauti hata kabla ya tamko la leo. TEC imetumika kama Jukwaa lilisaidia Slaa na Kitima kufikisha hoja zao.

Rejea mjadala mdaharo uliowashirikisha Rostam, Kitila Mkumbo, Zitto, Lema, Shekh Ponda, Balile na Dkt. Kitima mwenyewe.

Kwenye madahalo watu wote walikubaliana kuhusu umuhimu wa uwekezaji, Kitima pekee ndie alikuwa na hoja tofauti, akasema haoni sababu ya kukabidhi uhuru wetu kwa waarabu, akapinga uwekezaji na kutaka mkataba tuachane nao, tuwaachie vijana wa kitanzania waendeshe, akaongeza kuwa hata wakiiba watatumia pesa hizo humuhumu nchini(ingia youtube andika mdaharo wa bandari utaona ninachokisema)

Leo ameibuka kama katibu wa TEC nafasi iliyowahi kushikwa na Dkt. Slaa.

Anatoa tamko kwamba TEC inapinga uwekezaji na wanamuamuru Rais Ufute mkataba.

Kwenye andiko lake ametoa hoja kubwa tatu.

1. Kwenye andiko lake anadai Mihimili iheshimiane, isiingiliwe hapa alimaanisha Kesi ya Mwabukusi ambayo kwa vyovyote Kitima alihusika kuifungua.

Kushindwa kwa Mwabukusi ni sawa na kushindwa kwa Kitima, lazima Kitima atafute plan B.

Kitima kwenye andiko lake anasema mihimili isiingiliane, kila muhimili uwe huru.

Kwake anaamini walishindwa kesi kwakuwa mahakama haikuwa na uhuru wa kufanya maamuzi, Kitima ni kama anasema mahakama ilishinikizwa kutoa yale maamuzi.

Halafu anafanya makosa kwenye andiko hilohilo kuhusu hoja hiyo kwa mushinikiza Rais Samia kutengua maamuzi ya bunge ambao ni muhimili mwingine wa dola ambao awali amesema mihimili isiingiliwe.

Hapa anahalalisha kuingiliwa kwa munimili wa Bunge ili kufanikisha malengo yake.

Rais akiingilia bunge atakuwa naendelea kuvunja katiba, kukosea kwa kufanya kile ambacho Kitima anapinga kwenye Tamko lake.

2. Kuhusu hoja ya kutaka Bandari iendeshwe na wazawa, kwamba haijawahi kuendeshwa na wageni, amesahau kuwa Bandari imeendeshwa na TICS kwa miaka 22 hakulisema hili kwa makusudi, huenda anatamani TICS ndio iendelee badala ya DP-World ili kulinda maslahi binafsi aliyonayo bandarini.

Hapa Kitima ni kama ana msalahi binafsi anayoyapigania kwa kutumia mwamvuli wa TEC, hoja yake inamashaka. Kumbukeni sakata la ESCROW kuna hadi viongozi wa dini ambao walinufaika na wizi wa ESCROW sio wasafi kwa kiwango hicho.

3. Kitima na Dkt. Slaa ni watu wenye Itikadi kali ya ukristo(Udini)

Kuna Wakristo wasiokuwa na ubaguzi halafu kuna Slaa na Kitima waliopea kwenye Udini.

Sio utamaduni wetu Watanzania kunadiliana habari za udini ma Ukabila, lakini kwa muktadha huu nitalisemea ili muwajue vizuri.

Kwa nyakati tofauti Kitima ameonesha ni mtu mwenye chuki ya kidini na mdini sana tangu akiwa Makamu mkuu wa chuo cha St Augustine Mwanza.

Nakumbuka wakati wa utawala wa Rais Kikwete kwenye kipindi cha star TV chini ya Dotto Bulendu kitima aliilaumu serikali ya Rais Kikwete kwa kuruhusu waarabu wenye ndevu hadi kifuani kuzagaa Kariakoo, alisema kwamba wale wenye ndevu ndio magaidi kwamba serikali inawatazama haiwachukulii hatua.

Yaani kwenye ule mjadala, kitima akaona ndevu ni tishio kwake.

Ndiyo maana Tangu utawala uchukuliwe na Rais Magufuli, Mkatoliki mwenzake Kitima hajawahi kujitokeza hadharani kuipinga serikalinya magufulipamoja na chamgamoto zote za Utawala wa Magufuli.

Kadhalika Dkt. Slaa, kwenye utawala wa Magufuli hakuwahi kuishambulia serikali kwa lolote hata pale palipokuwa na makosa ya wazi, baadae Slaa alipewa zawadi ya cheo kuwa balozi wa tanzania kwa kazi nzuri ya Kuhujumu demokrasia yetu.

Baadae alirudishwa nyumbani baada ya kumaliza muda wake wakati wa utawala wa Rais samia, hadi hivi karibuni kwenye sakata la mbowe, Slaa alisema mbowe anaweza kuwa gaidi kwamba mashtaka aliyoshtakiwa nayo yalikuwa halali, hapa alitoa kauli ya kumfurahisha Rais samia kwa lengo la kuwinda zawadi ya cheo kipya.

Rais Samia amejipambanua kuwa hataki wapambe ni kiongozi anaetembea kwenye 4R, msisitizo ukiwa mwafaka wa kitaifa.

Watu kama slaa ambao wanashangilia mauaji na uonevu Rais samia aliona hawawezi kumsaidia.

Pia Rais Samia anaamini katika uongozi wa vijana.Slaa ana zaidi miaka 78.

Baada ya Slaa kukiridhisha kuwa utawala wa Rais Samia hauna mpango wa kumtumia, ndipo akaamua kuungana na Dr.Charles Kitima kuishambukia serikali

Kama Slaa angepewa cheo, muda huu angekuwa anatetea Mkataba wa DP World.

Huu ni uthibitisho kuwa Kitima na Slaa ni wadini sana ambao Kuingia kwa Rais Samia madarakani kwao waliona ni suprise.

Hawakujiadaa kuongozwa na Rais Samia ndio maana Wamekuwa mbogo sio kwenye mkataba wa bandari tu bali kwenye utawala wa Rais Samia kwa ujumla.

Rejea mahojiano ya Slaa na star tv baada ya Rais samia kuapishwa, Slaa aliishambulia serikali na kuituhumu kuhusu kifo cha Rais Magufuli, Slaa akamalizia kwa kusema kama wanataka wanikamate,siogopi kukamatwa, alionekana ni mtu mwwnye hasira ya kukosa cheo.

Kwa msingi huo, huu ni uthibitisho kuwa Tamko lililoitwa la TEC lina msukumo wa kidini kuliko msukumo wa kisheria na kisiasa.

Nchi yetu ina dini kubwa Mbili, Wakristo na waislaam, tujaalie hilo ni tamko la wakatoliki.

Je na waislaam nao wakitoa tamko lao linalopingana na tamko la TEC?

Vipi walokole nao wakiunga mkono uwekezaji, serikali itafuata msimamo wa dini gani?

Ndio msingi uliosababisha serikali kutamka kuwa haina dini,lengo nikuepuka misuguano inayoweza kuliingiza taifa kwenye machafuko.

Tumeshatoa maoni,serikali imeyasikia na ndani ya serikali kuna watu wa dini zote na wasiokuwa na dini, kuna wanasheria kuna vyombo mbalimbali vya dola.

Ni imani yangu kuwa Swala la uwekezaji wa Bandari watalifanyia kazi kwa kulinda maslahi ya taifa.

Viongozi wa dini wasiingile utendaji wa serikali ambayo kila mmoja anatambua haina dini.
Tuwapuuze Slaa na kitima, wanataka kutuingiza kwwnye vita yao ya maslahi binafsi kwa Kisingizio cha kulinda rasilimali , tuulinde umoja wetu uliodumu kwa zaidi ya miaka 50.
Tujifunze Burundi na Rwanda, mauaji ya kimbali yalihamasishwa na viongozi wa dini.
 
Hoja 8 Muhimu za TEC
14. Ibara zifuatazo za Mkataba huu zina matatizo yatakayosababisha nchi kutofikia uhuru wa kiuchumi (economic independence):

14.1. Ibara ya 2 (1): inayohusu lengo la Mkataba huu ambalo ni kuweka utaratibu unaoibana Tanzania kisheria katika kuendeleza, kuboresha na kuendesha bandari zote za bahari na maziwa, maeneo maalum ya uwekezaji, maeneo ya usafirishaji wa mizigo, na maeneo mengine ya kiuchumi.

14.2. Ibaraya 4: inayohusu wigo wa Mahusiano na Utekelezaji unaoitaka Serikali ya Tanzania kuwajibika kuijulisha Dubai kila fursa ya uwekezaji inapojitokeza.Hiiinakinzana na baadhi ya sheria za nchi yetu, kwa mfanosheria ya ushindani na ile ya manunuzi.

14.3. Ibaraya 5: ambapo DPWorldimepewa haki ya kuendeleza, kusimamia na kuendesha miradi pekee yake, wakati Tanzania inabaki na wajibu wa kumwezesha kufurahia haki hiyo.

14.4. Ibaraya 6:inayoitaka Tanzania kuwajibika kuipatia DP World vibali na vivutio vya kutekeleza miradi yake kama Serikali. Hii inapingana na baadhi ya sheria za kiutaratibu.

14.5. Ibaraya 7: inayoitaka Serikali kuwajibika kutoa mamlaka yanayotakiwa na mwekezaji bila ucheleweshaji.

14.6. Ibaraya 8: Haki ya kutumia ardhi ambapo Mkataba unasababisha uvunjifu wa sheria za ardhi na sheria zinazohusu masuala ya ardhi.

14.7. Ibaraya 10: Usiri wa Mkataba ambapo Mkataba unazuia mamlaka nyingine kama TAKUKURU /BUNGE kufuatilia mikataba.

14.8. Ibara za 23 na 24: zenye ugumu wa kujitoa kwenye Mkataba
Jikite hapo
 
Bandari ni ya watanzania na anayekabidhi bandari yetu kwa waarabu na anayepinga isikabidhiwe waarabu nani ana maslahi na watanzania?

Unadanyaya kuwa huko nyuma walikanidhiwa TICS kwa miaka 22 ni uongo maana sio TICS ni TICTS a sio miaka 22 ni zaidi

Sasa kumbuko kuwa
1. Pengine huko nyuma watanzania tulikuwa wachache leo hii sisi watu zaidi ya milion 60 unapokabidhi uchumi wetu kwa mwaarabu kisha ajira tutapata wapi?

2. Huko pengine elimu nzuri ya kusimamia bandari yetu vizuri hatukuwa nayo. Sasa mpaka leo sababu gani tusiweze?

3. Mkoloni wetu wa kwanza alikuwa ni mmwarabu na tulichopata kwake bado tunayo kifuani

4. Hoja wanazopinga kwenye mkataba kwamba hauna kikomo na pia mkataba unahusu bandari zote za bara na visiwani na pia kwa nini bandari za bara tu? Na sio za Zanzibar pia hizo hoja mbona hazijibiwi na serekali?ĺ
 
IMG_0083.jpg
 
Nimeishia kusoma pale Ulivyosema Fr Kitima au TEC hawajahi kutoa tamko lolote wakati wa Utawala wa Magufuli. Umekuja na andiko refu bila kujipanga!

Umejadili sana issue za udini na sio waraka wa TEC, hapa inaonekana wewe ndio unaendekeza udini.
 
Nimesoma tamko la TEC

Kwanza tamko limesomwa na mtu mmoja bila kuwepo na askofu mwingine yeyote.

Aliyesoma na kuandika tamko amekuwa miongoni mwa watu wanaopinga mkataba wa bandari kwa nyakati tofauti hata kabla ya tamko la leo.
TEC imetumika kama Jukwaa lilisaidia Slaa na Kitima kufikisha hoja zao.

Rejea mjadala mdaharo uliowashirikisha Rostam, Kitila Mkumbo, Zitto, Lema, Shekh Ponda, Balile na Dkt. Kitima mwenyewe.

Kwenye madahalo watu wote walikubaliana kuhusu umuhimu wa uwekezaji, Kitima pekee ndie alikuwa na hoja tofauti, akasema haoni sababu ya kukabidhi uhuru wetu kwa waarabu, akapinga uwekezaji na kutaka mkataba tuachane nao, tuwaachie vijana wa kitanzania waendeshe, akaongeza kuwa hata wakiiba watatumia pesa hizo humuhumu nchini(ingia youtube andika mdaharo wa bandari utaona ninachokisema)

Leo ameibuka kama katibu wa TEC nafasi iliyowahi kushikwa na Dkt. Slaa.

Anatoa tamko kwamba TEC inapinga uwekezaji na wanamuamuru Rais Ufute mkataba.

Kwenye andiko lake ametoa hoja kubwa tatu.

1. Kwenye andiko lake anadai Mihimili iheshimiane, isiingiliwe hapa alimaanisha Kesi ya Mwabukusi ambayo kwa vyovyote Kitima alihusika kuifungua.

Kushindwa kwa Mwabukusi ni sawa na kushindwa kwa Kitima, lazima Kitima atafute plan B.

Kitima kwenye andiko lake anasema mihimili isiingiliane, kila muhimili uwe huru.

Kwake anaamini walishindwa kesi kwakuwa mahakama haikuwa na uhuru wa kufanya maamuzi, Kitima ni kama anasema mahakama ilishinikizwa kutoa yale maamuzi.

Halafu anafanya makosa kwenye andiko hilohilo kuhusu hoja hiyo kwa mushinikiza Rais Samia kutengua maamuzi ya bunge ambao ni muhimili mwingine wa dola ambao awali amesema mihimili isiingiliwe.

Hapa anahalalisha kuingiliwa kwa munimili wa Bunge ili kufanikisha malengo yake.

Rais akiingilia bunge atakuwa naendelea kuvunja katiba, kukosea kwa kufanya kile ambacho Kitima anapinga kwenye Tamko lake.

2. Kuhusu hoja ya kutaka Bandari iendeshwe na wazawa, kwamba haijawahi kuendeshwa na wageni, amesahau kuwa Bandari imeendeshwa na TICS kwa miaka 22 hakulisema hili kwa makusudi, huenda anatamani TICS ndio iendelee badala ya DP-World ili kulinda maslahi binafsi aliyonayo bandarini.

Hapa Kitima ni kama ana msalahi binafsi anayoyapigania kwa kutumia mwamvuli wa TEC, hoja yake inamashaka. Kumbukeni sakata la ESCROW kuna hadi viongozi wa dini ambao walinufaika na wizi wa ESCROW sio wasafi kwa kiwango hicho.

3. Kitima na Dkt. Slaa ni watu wenye Itikadi kali ya ukristo(Udini)

Kuna Wakristo wasiokuwa na ubaguzi halafu kuna Slaa na Kitima waliopea kwenye Udini.

Sio utamaduni wetu Watanzania kunadiliana habari za udini ma Ukabila, lakini kwa muktadha huu nitalisemea ili muwajue vizuri.

kwa nyakati tofauti Kitima ameonesha ni mtu mwenye chuki ya kidini na mdini sana tangu akiwa Makamu mkuu wa chuo cha St Augustine Mwanza.

Nakumbuka wakati wa utawala wa Rais Kikwete kwenye kipindi cha star TV chini ya Dotto Bulendu kitima aliilaumu serikali ya Rais Kikwete kwa kuruhusu waarabu wenye ndevu hadi kifuani kuzagaa Kariakoo, alisema kwamba wale wenye ndevu ndio magaidi kwamba serikali inawatazama haiwachukulii hatua.

Yaani kwenye ule mjadala, kitima akaona ndevu ni tishio kwake.

Ndiyo maana Tangu utawala uchukuliwe na Rais Magufuli, Mkatoliki mwenzake Kitima hajawahi kujitokeza hadharani kuipinga serikalinya magufulipamoja na chamgamoto zote za Utawala wa Magufuli.

Kadhalika Dkt. Slaa, kwenye utawala wa Magufuli hakuwahi kuishambulia serikali kwa lolote hata pale palipokuwa na makosa ya wazi, baadae Slaa alipewa zawadi ya cheo kuwa balozi wa tanzania kwa kazi nzuri ya Kuhujumu demokrasia yetu.

Baadae alirudishwa nyumbani baada ya kumaliza muda wake wakati wa utawala wa Rais samia, hadi hivi karibuni kwenye sakata la mbowe, Slaa alisema mbowe anaweza kuwa gaidi kwamba mashtaka aliyoshtakiwa nayo yalikuwa halali, hapa alitoa kauli ya kumfurahisha Rais samia kwa lengo la kuwinda zawadi ya cheo kipya.

Rais Samia amejipambanua kuwa hataki wapambe ni kiongozi anaetembea kwenye 4R, msisitizo ukiwa mwafaka wa kitaifa.

Watu kama slaa ambao wanashangilia mauaji na uonevu Rais samia aliona hawawezi kumsaidia.

Pia Rais Samia anaamini katika uongozi wa vijana.Slaa ana zaidi miaka 78.

Baada ya Slaa kukiridhisha kuwa utawala wa Rais Samia hauna mpango wa kumtumia, ndipo akaamua kuungana na Dr.Charles Kitima kuishambukia serikali

Kama Slaa angepewa cheo, muda huu angekuwa anatetea Mkataba wa DP World.

Huu ni uthibitisho kuwa Kitima na Slaa ni wadini sana ambao Kuingia kwa Rais Samia madarakani kwao waliona ni suprise.

Hawakujiadaa kuongozwa na Rais Samia ndio maana Wamekuwa mbogo sio kwenye mkataba wa bandari tu bali kwenye utawala wa Rais Samia kwa ujumla.

Rejea mahojiano ya Slaa na star tv baada ya Rais samia kuapishwa, Slaa aliishambulia serikali na kuituhumu kuhusu kifo cha Rais Magufuli, Slaa akamalizia kwa kusema kama wanataka wanikamate,siogopi kukamatwa, alionekana ni mtu mwwnye hasira ya kukosa cheo.

Kwa msingi huo, huu ni uthibitisho kuwa Tamko lililoitwa la TEC lina msukumo wa kidini kuliko msukumo wa kisheria na kisiasa.

Nchi yetu ina dini kubwa Mbili, Wakristo na waislaam, tujaalie hilo ni tamko la wakatoliki.

Je na waislaam nao wakitoa tamko lao linalopingana na tamko la TEC?

Vipi walokole nao wakiunga mkono uwekezaji, serikali itafuata msimamo wa dini gani?

Ndio msingi uliosababisha serikali kutamka kuwa haina dini,lengo nikuepuka misuguano inayoweza kuliingiza taifa kwenye machafuko.

Tumeshatoa maoni,serikali imeyasikia na ndani ya serikali kuna watu wa dini zote na wasiokuwa na dini, kuna wanasheria kuna vyombo mbalimbali vya dola.

Ni imani yangu kuwa Swala la uwekezaji wa Bandari watalifanyia kazi kwa kulinda maslahi ya taifa.

Viongozi wa dini wasiingile utendaji wa serikali ambayo kila mmoja anatambua haina dini.
Tuwapuuze Slaa na kitima, wanataka kutuingiza kwwnye vita yao ya maslahi binafsi kwa Kisingizio cha kulinda rasilimali , tuulinde umoja wetu uliodumu kwa zaidi ya miaka 50.
Tujifunze Burundi na Rwanda, mauaji ya kimbali yalihamasishwa na viongozi wa dini.
hoja yako ni nn hasa?
 
umekwepa kujadili hoja umekimbilia kujadili mtu, nikukumbushe Kitima alipingana na Magufuli kuhusu namna ya kupambana na ugonjwa wa Corona. Pia kupikuwa na aakofu mwingine wa rc alipingana na Magufuli Hadi akaanza kuchunguzwa uraia.
Tec ndicho chombo Cha juu Cha wakatoriki. Hivyo tamko lao ndio tamko rasmi la kanisa.
Walioshiriki wote pale Wana upeo wa juu pale hamna form four failure Kwa hiyo mkataba ulichambuliwa kipengele Hadi kipengele.
Nyinyi mlitumia kina Kitenge, Zembwela na watu wanaofanana nao kutetea hoja za mkataba. Tutaendelea kusimamia nao mpaka bandari zirudishwe.
 
Back
Top Bottom