Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Wapo watakaotambaa muda si mrefuNaibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dokta Damas Ndumbaro amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kupitishwa na chama cha CCM kwa ajili ya kuwania ubunge wa Songea Mjini kwa kuwasili ofisi za CCM akiwa na usafiri wa baiskeli. Mwaka huu tutashuhudia mengi mno
Nitakusindkza shemeji yanguHahahhaha.Hakuna namna mbinu zote zinaruhusiwa as far as sheria haivunjwi. Mimi nitakwenda na kwa mguu kabisa.
Hahahhaha.Hakuna namna mbinu zote zinaruhusiwa as far as sheria haivunjwi. Mimi nitakwenda na kwa mguu kabisa.
Nimeipenda hiiHahaha hahaha...ubunifu mfu
Ajira mkuu, huyu hana njaaAaaah njaa +tumbo.
Kama ya Cashew nuts? None productive and practical in real life.If education did not help changes to betterment, what's the use of investing to such idiotic researchers and then award them Doctorates?phd ya bongo, just mocking walala hoi