Extra Limo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 210
- 354
Mimi naomba unialike nikusubirie nje ukitoka niwe mbeba begi wako.Hahahhaha.Hakuna namna mbinu zote zinaruhusiwa as far as sheria haivunjwi. Mimi nitakwenda na kwa mguu kabisa.
Karibu.Mimi naomba unialike nikusubirie nje ukitoka niwe mbeba begi wako.
Upambe nao unalipa pande zote duniani.
Ntakubebea hendbagHahahhaha.Hakuna namna mbinu zote zinaruhusiwa as far as sheria haivunjwi. Mimi nitakwenda na kwa mguu kabisa.
Duhhuyu anagombea na bwana ERICK MAPUNDA DED mla rushwa aliyekubuhu. anafanya mapenzi na watumishi ofisini kwake. ama kweli ccm ni ficho la wahalifu
mimi ntatumia gutaHahahhaha.Hakuna namna mbinu zote zinaruhusiwa as far as sheria haivunjwi. Mimi nitakwenda na kwa mguu kabisa.
hua unajiskiaje unapomkebehi mtu ambaye haumjui halafu hakujibu, si unajiona mpumbavu sana?!Kwaiyo namadanga wanaruhusiwa kuchukua Fomu ccm.