Dkt. Damas Ndumbaro: GSM aliweka mkono lakini timu ikashuka daraja

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Your browser is not able to display this video.

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro anaeleza sababu ambazo zilipelekea timu ya Majimaji ya Songea kufa licha ya GSM kuwa msimamizi wa timu hiyo ukizingatia amezaliwa Songea.

Chanzo: Jahazi (Clouds FM)
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#Masaa kumi
#Koment_moja
 
hili jamaa nilikuwa naliona Lina akili kumbe jinga tangia aingie kwenye siasa.
yeye ni mbunge lakini kashindwa kusaidia timu mpaka Nyoni anajitolea pesa zake wakati yeye ni mdau wa michezo
 
Waikabidhi Halmashauri..
Mbona Pamba imekabidhiwa Halmashauri?
Chief hiyo ni timu ya kisiasa . Kila inapokaribia uchaguzi mkuu inatakiwa ipande ligi kuu

Hpo inapigiwa chapuo irudi ligi kuu ili watu wapate cha kuombea kura 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…