TANZIA Dkt. Deogratius Rugaimukamu afariki dunia

TANZIA Dkt. Deogratius Rugaimukamu afariki dunia

Natamani kujua what your plot is
Hata landlord hupeana notice

Aki Maulana ingilia kati
Fees ni expensive but worth it

Kwa nini uliamua kutangulia
Diet yangu imechange, tabia ya kulia
Usingizi nakutamani, kushoto kulia
Unakuja lini, nitabasamu tena
Unanitenda, aliyekuchukua sijui nani alimtuma
Maombi ni ati wakati rudi nyuma
Jua mi nikirudi, nikupate kwa nyumba
Ju zimeshikana ni ngumu kuvunja
But, ka una haraka nenda kwanza
Niko na I-Bag sijalala

Na usalimie Maulana
 
Mtu mmoja ana uwezo hadi wa kuamua hatima ya afya za mamilioni ya watu.

Kweli tuna katiba sio ya kijinga tu ni ya kipumbavu kabisa. I lost a person of my family today in the morning kwa changamoto ya upumuaji.

Tuendelee kupiga nyungu. Mitano tena
Swala la afya ni la binafsi. Kila mtu ana haki ya kujiamulia. Mimi nadhani watanzania ndiyo tujilaumu wenyewe. Watu zaidi ya milioni 50 tunakubali kupelekeshwa na kichaa mmoja. Uhai ukitoka haurudi. Tukiamua kwa pamoja hata muda wa siku moja tu atakuwa kaburini na sisi tutabaki salama.
 
Kwa Leo tu nimeandika r.i.p 6..eeh Mungu.

Apumzike kwa amani
 
Wekeni potential solutions ya nini kifanyike practically in our context na labda atafanya maana ni member humu na anasoma comments daily. Kulalamika tuuu haitusaidii sisi wote

Poleni sana kwa msiba. Hili janga sasa imefika mahali liwe personalized na kila mtu ajikinge kivyake ha atuma

Swala la afya ni la binafsi. Kila mtu ana haki ya kujiamulia. Mimi nadhani watanzania ndiyo tujilaumu wenyewe. Watu zaidi ya milioni 50 tunakubali kupelekeshwa na kichaa mmoja. Uhai ukitoka haurudi. Tukiamua kwa pamoja hata muda wa siku moja tu atakuwa kaburini na sisi tutabaki salama.
Word
 
Nashangaa mleta mada kapitwa na tukio kwa siku 3

Kwa nini huoni kuwa alikuwa labda ana mwomboleza jamaa yake aliyetutoka vilivyo kwanza?

Kwa nini huoni kumwomboleza kwanza ilikuwa jambo la uzalendo mno na labda ikiwamo pia kutokuleta taharuki isiyokuwa ya lazima, labda kuna na wengine waliokuwa pia wametutoka siku hiyo?

Au kwani hasa wewe unapendelea kujuzwa baada ya muda gani?
 
Nashangaa mleta mada kapitwa na tukio kwa siku 3
Sikuwa na access na was up ya classmates leo ndio nimepata na kuufahamisha umma wa jf .. je, ni kosa ?
na kabla sijapost hapa nmejiridhisha hakuna habari kama Hyo hapa jukwaani.
Wasiwasi wako ni Nini labda?
 
Back
Top Bottom