Pre GE2025 Dkt. Dimwa ataka Katiba ya Zanzibar ibadilishwe ili Dr. Mwinyi atawale vipindi viwili vya miaka Saba badala ya Mitano

Pre GE2025 Dkt. Dimwa ataka Katiba ya Zanzibar ibadilishwe ili Dr. Mwinyi atawale vipindi viwili vya miaka Saba badala ya Mitano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ulevi tu!!
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu
nakazia

Ulevi tu!!
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu!!
Ulevi tu
Ulevi tu!!
Ulevi tu
 
Amesema kwamba CHAMA hicho kimeanza mchakato wakipeleka mapendekezo hayo baada wananchi wengi wa Visiwa hivyo kumtaka Dr Mwinyi aongezewe muda badala miaka mitano atawale miaka Saba

Hii nikutokana na MAFANIKIO makubwa aliyoleta katika Visiwa hivyo Kwa kipindi Cha miaka mitatu aliyokaa Madarakani miongoni mwa MAFANIKIO hayo ni kuvuka sera za CHAMA hicho katika ujenzi wa Madarasa Kwa asilimia mia Moja na hamsini. Ujenzi wa hospital za kisasa Kwa Kila Wilaya ya Visiwa hivyo kizifanyia ukarabati barabara zote kuu na za ndani visiwani humo . Ujenzi wa flaiova

Na hivi karibu anatarajia kuanza ujenzi vituo vya TAXI za bahari kurejesha usafiri wa Treni ZANZIBAR mradi wa mabasi ya kisasa ya abiria yatakayokua yanatumia mfumo wa gesi

Kama haitoshi amejenga viwanja vya kisasa vya michezo ya ndani kuukarabati Uwanja wa Amani KUJENGA Parking ya kisasa katika Mji wa ZANZIBAR

Na mengine mengi
Hivyo Hilo likipita uchaguzi Mkuu wa ZANZIBAR utakua mwaka 2027 na Muhula wa pili atamaliza 2034

ZANZIBAR Yangaraaa
Kama Kiongozi anaongoza vyema na kwa uadilifu mkubwa miaka saba saba haina shida !!
Kwanza Nchi itang’ara na pia Nchi itapunguza gharama kwa kiasi fulani za kuwatunza marais wastaafu kila baada ya miaka kumi kupita anaongezeka mwingine !
Kama mabadiliko hayo yatafanyika atakuwa anaongezeka mwingine kila baada ya miaka 14 !
😅😅🙏
Incumbent president huwa hashindwi kwenye uchaguzi 😂
Uzoefu wetu unaonyesha hivyo 🙏
 
Nimemkumbuka aliyekuwa mb wa nkasi??
Hivi anaendeleaje sahv

Ova
Alisema Wabunge wa Znz wanaweza kuita Wapiga kura wao kwa filimbi na wote wakakusanyika kwa udogo wa jimbo lakini wanalipwa sawa na wao ambao unaweza ukatumia siku nzima kutembelea jimbo na usimalize

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Eti anafanya vizuri....bila kizimkazi kufanya uporaji bara, mikopo inayozidi bajeti ya kisiwa kwa miaka 2 kupewa mara moja mchezo!
 
Halafu Mwinyi alibebebwa na nguvu ya dola tu, lkn wazanzibari hawamtaki mpk kesho.

Hapo anaandaa machawa ili aoneshe kuwa anapendwa halafu aibe uchaguzi ujao.
Kwanza siyo kwao , Babaake kwao ni Kivule huko Mkoani Pwani
 
Kwanza siyo kwao , Babaake kwao ni Kivule huko Mkoani Pwani
Fomu ya kugombea urais Zanzibar Kuna kipengele cha kujaza mahala alipozaliwa huko Zanzibar. Kwasabb kila nafasi ya uongozi inapaswa kugombewa na mzanzibari.

Alishindwa kujaza kipengele hicho akaandika amezaliwa Tanzania. Kwasabb anajua kuwa yeye siyo mzaznzibari.
 
Fomu ya kugombea urais Zanzibar Kuna kipengele cha kujaza mahala alipozaliwa huko Zanzibar. Kwasabb kila nafasi ya uongozi inapaswa kugombewa na mzanzibari.

Alishindwa kujaza kipengele hicho akaandika amezaliwa Tanzania. Kwasabb anajua kuwa yeye siyo mzaznzibari.
Ana makando kando ya kutisha , tukiyafumua humu hamtakalika
 
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr.Dimwa amesema kwamba CHAMA hicho kimeanza mchakato wakipeleka mapendekezo hayo baada wananchi wengi wa Visiwa hivyo kumtaka Dr Mwinyi aongezewe muda badala miaka mitano atawale miaka Saba.

Hii nikutokana na MAFANIKIO makubwa aliyoleta katika Visiwa hivyo Kwa kipindi Cha miaka mitatu aliyokaa Madarakani miongoni mwa MAFANIKIO hayo ni kuvuka sera za CHAMA hicho katika ujenzi wa Madarasa Kwa asilimia mia Moja na hamsini. Ujenzi wa hospital za kisasa Kwa Kila Wilaya ya Visiwa hivyo kizifanyia ukarabati barabara zote kuu na za ndani visiwani humo . Ujenzi wa flaiova

Na hivi karibu anatarajia kuanza ujenzi vituo vya TAXI za bahari kurejesha usafiri wa Treni ZANZIBAR mradi wa mabasi ya kisasa ya abiria yatakayokua yanatumia mfumo wa gesi

Kama haitoshi amejenga viwanja vya kisasa vya michezo ya ndani kuukarabati Uwanja wa Amani KUJENGA Parking ya kisasa katika Mji wa ZANZIBAR

Na mengine mengi
Hivyo Hilo likipita uchaguzi Mkuu wa ZANZIBAR utakua mwaka 2027 na Muhula wa pili atamaliza 2034

ZANZIBAR Yangaraaa
Jamaa doctorate yake ni ya ujinga?
 
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr.Dimwa amesema kwamba CHAMA hicho kimeanza mchakato wakipeleka mapendekezo hayo baada wananchi wengi wa Visiwa hivyo kumtaka Dr Mwinyi aongezewe muda badala miaka mitano atawale miaka Saba.

Hii nikutokana na MAFANIKIO makubwa aliyoleta katika Visiwa hivyo Kwa kipindi Cha miaka mitatu aliyokaa Madarakani miongoni mwa MAFANIKIO hayo ni kuvuka sera za CHAMA hicho katika ujenzi wa Madarasa Kwa asilimia mia Moja na hamsini. Ujenzi wa hospital za kisasa Kwa Kila Wilaya ya Visiwa hivyo kizifanyia ukarabati barabara zote kuu na za ndani visiwani humo . Ujenzi wa flaiova

Na hivi karibu anatarajia kuanza ujenzi vituo vya TAXI za bahari kurejesha usafiri wa Treni ZANZIBAR mradi wa mabasi ya kisasa ya abiria yatakayokua yanatumia mfumo wa gesi

Kama haitoshi amejenga viwanja vya kisasa vya michezo ya ndani kuukarabati Uwanja wa Amani KUJENGA Parking ya kisasa katika Mji wa ZANZIBAR

Na mengine mengi
Hivyo Hilo likipita uchaguzi Mkuu wa ZANZIBAR utakua mwaka 2027 na Muhula wa pili atamaliza 2034

ZANZIBAR Yangaraaa
Hizi zinaitwa Porojo za wapambe.

Dr Mwinyi akisupport hili atakuwa amejiharibua sana.

Dr Mwinyi awapige stop wahuni kama hawa wanaotaka kulete taharuki
 
Huyu Jamaa Naona Amevimbiwa,Akajisahauu.Ajikumbushe yaliyomkuta Komandoo Dr.Salmin Amour.Alitolewa Nduki huko Dodoma,Mpaka Leo alinyamazishwa mazimaa.
Hawasomi historia au wanajifanya kujizima data.

Halmashauri ya Baraza la Mapinduzi haliwezi kukubaliana na hicho kitu hata kama wewe ni Mwanaccm mwenzao.
 
Umenikumbusha mbunge mmoja mwenye kitambi akisema mwendazake atake asitake ataongezewa muda. Wakati huo hajaongea na mamlaka za Mbinguni ambayo ndio yenye uamuzi wa mwisho.

Huyu waziri anataka kumjengea Dr maadui wasio wa lazima.
Ajabu wote sasa hawako madarakani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr.Dimwa amesema kwamba CHAMA hicho kimeanza mchakato wakipeleka mapendekezo hayo baada wananchi wengi wa Visiwa hivyo kumtaka Dr Mwinyi aongezewe muda badala miaka mitano atawale miaka Saba.

Hii nikutokana na MAFANIKIO makubwa aliyoleta katika Visiwa hivyo Kwa kipindi Cha miaka mitatu aliyokaa Madarakani miongoni mwa MAFANIKIO hayo ni kuvuka sera za CHAMA hicho katika ujenzi wa Madarasa Kwa asilimia mia Moja na hamsini. Ujenzi wa hospital za kisasa Kwa Kila Wilaya ya Visiwa hivyo kizifanyia ukarabati barabara zote kuu na za ndani visiwani humo . Ujenzi wa flaiova

Na hivi karibu anatarajia kuanza ujenzi vituo vya TAXI za bahari kurejesha usafiri wa Treni ZANZIBAR mradi wa mabasi ya kisasa ya abiria yatakayokua yanatumia mfumo wa gesi

Kama haitoshi amejenga viwanja vya kisasa vya michezo ya ndani kuukarabati Uwanja wa Amani KUJENGA Parking ya kisasa katika Mji wa ZANZIBAR

Na mengine mengi
Hivyo Hilo likipita uchaguzi Mkuu wa ZANZIBAR utakua mwaka 2027 na Muhula wa pili atamaliza 2034

ZANZIBAR Yangaraaa
Duh.... Na huyu bwana Dimwa naye ni Dr. kweli safari bado ndeeeefu sana
 
Back
Top Bottom