DOKEZO Dkt. Dorothy Gwajima tupia macho chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama, kuna madudu mengi na mtiririko wa elimu usioeleweka katika mifumo ya Serikali

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Haya Ungepokea chuoni na pia kwa km wa wizara

Tusipoangalia kuna siku tutamtuma Dr Gwajima kutununulia fegi
 
Nipo na tumshukuru Mungu kwa kutupa uzima na afya.Nipo nimerudi tena ndugu
Nilipoona barafu na hiyo tarehe ya uzi, nikashukuru Mungu kwa kuona upo hai ndugu.
Ulipotea sana hapa jukwaani.

Kuhusu hilo la Ustawi naamini kwa dada yetu Dkt. Gwajima D atalifanyui kazi maana yupo humu na ni mfuatiliaji mzuri sana.
 
Haya Ungepokea chuoni na pia kwa km wa wizara

Tusipoangalia kuna siku tutamtuma Dr Gwajima kutununulia fegi

Unahoja lakini ameona bora ailete hapa kwa heshima ya JF ili na wengine watoe maoni yao.

Kubwa zaidi, kama alivyoeleza barafu , hiki chuo kipo chini ya wizara ya ustawi wa jamii na kwa sasa, waziri wake tunae hapa tena ni mchangiaji mzuri tu. Nna Imani taarifa itamfikia na kuchukua hatua stahiki.

Pia kuna wadau wengine wanaoweza kuchukua maamuzi kwenye kurekebisha hii hali na kuboresha wako hapa hapa JF hata kama hawatumii majina yao halisi.


Hajakurupuka na kamwe haitatokea Barafu atume waziri fegi.
 
Asante sana kwa mchango wako
 
Habari za masiku mtaalam wa ndege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…