M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
punguza jazba dadasema anakufaa wewe savabu hakuna cha maana alichofanya
Ni mnyarwanda huyoHii Africa Energy Future Summit inatuonyesha umakini wa viongozi wetu. Mmojawapo ni Mheshimiwa Dr Dotto Biteko (PhD) huyu kiongozi ni hazina ya mbeleni. Ana utulivu wa kiuongozi na elimu pia ipo
Asante.
View: https://www.youtube.com/watch?v=o6bgARGZYwg
Dr Mwigulu atakua kwenye PANEL, tusikilize madini zaidi
jinga kabisa wewe,acha kumfananisha Majaliwa na yoyote,nchi nzima inatamani awe Rais wa hii nchi.Kabisa, ana utulivu mkubwa na hana tamaa ya madaraka kama Majaliwa
Acha upumbavu, tatizo kichwani umejaza samadi ya nguruwejinga kabisa wewe,acha kumfananisha Majaliwa na yoyote,nchi nzima inatamani awe Rais wa hii nchi.
Punguza wenge Mzee wa Mingoyo LindiAcha upumbavu, tatizo kichwani umejaza samadi ya nguruwe
Huyo mzee wa piko afungue saloon tu ya kupaka nywele rangiPunguza wenge Mzee wa Mingoyo Lindi
Ni mnyarwandanda
Labda awe Rais wa TFFjinga kabisa wewe,acha kumfananisha Majaliwa na yoyote,nchi nzima inatamani awe Rais wa hii nchi.