Dkt. Doto Biteko anatufaa kwa ngazi ya juu zaidi

Dkt. Doto Biteko anatufaa kwa ngazi ya juu zaidi

Hii Africa Energy Future Summit inatuonyesha umakini wa viongozi wetu. Mmojawapo ni Mheshimiwa Dr Dotto Biteko (PhD) huyu kiongozi ni hazina ya mbeleni. Ana utulivu wa kiuongozi na elimu pia ipo
Asante.


View: https://www.youtube.com/watch?v=o6bgARGZYwg

Dr Mwigulu atakua kwenye PANEL, tusikilize madini zaidi

Hafai. nimeona hathubutu hata kuondoa macho kwa sekunde mbili kutoka kwenye karatasi.
 
Kumbukeni kauli ya Generali mstaafu kuhusu usalama wetu wa nchi.
 
Back
Top Bottom