Dkt. Dotto Biteko asimamisha wafanyakazi saba ofisi ya madini kanda ya ziwa

hata ufanyeje ratiba ya kuondolewa wizarani ipo pale pale, kuvuja kwa taarifa ndo kumekupa muda wa ziada bt muda wowote utatimuliwa.
Huyu bwana ni mla rushwa mkubwa. Anaamini sana katika rushwa, ndiyo maana pia kwenye kupata PhD yake, na yeye katumia njia ya utoaji rushwa.

Yeye kuwataja waovu wengine hakufuti uovu wake.
 
Huyu bwana ni mla rushwa mkubwa. Anaamini sana katika rushwa, ndiyo maana pia kwenye kupata PhD yake, na yeye katumia njia ya utoaji rushwa.

Yeye kuwataja waovu wengine hakufuti uovu wake.
Sikatai, Wewe thibitisha tu mkuu, Mlarushwa hawezi kusemwa tu mpaka pamekuwa na Ushahidi,

#Rais anamifumo atamshika tu kama ni kweli,
 
Biteko ni bonge la fisadi na tycoon, ushaidi unakusanywa na ni suala la muda mchache tuu, tukianza kuanika vithibitisho tutavuruga ushahidi..
 
Inabidi JF iweke utaratibu, unapotoa tuhuma kwa mtu, mtuhumu uweke suppoting document kukazia tuhuma zako.
 
Safi sana Waziri Dk. Biteko. Hawa wanaochafua taswira ya nchi kwa kutapeli wafanyabiashara wa nje wanapaswa kupewa adhabu kali hasa.
 
Jambo usilolijua na sawa na usiku wa kiza.

The guy is corrupt 100%.
Weka mkeka wa ushahidi hapa. Hizi mambo za kukaa nyuma ya keyboard na kurusha tu tuhuma, no!
 
Sikatai, Wewe thibitisha tu mkuu, Mlarushwa hawezi kusemwa tu mpaka pamekuwa na Ushahidi,

#Rais anamifumo atamshika tu kama ni kweli,
Rushwa hutolewa mafichoni. Ushahidi wake huwa siyo rahisi sana. Lakini tunakuwa na uhakika kwa sababu ya taarifa za watoaji rushwa wenyewe. Unajua mtoaji rushwa hitoa au kwa sababu anaona asipofanya hivyo atapoteza haki yake, au anajua hana haki, anataka apate upendeleo.

Kwa vyovyote vile, mtoaji rushwa, hafurahii kukupa rushwa kwa sababu tu wewe upo kwenye nafasi fulani. Ndiyo maana watoa rushwa wengi, wakishatoa, hawatakosa kuwaambie wengine jinsi walivyolazimika kutoa rushwa. Ndiyo maana, mara nyingi, mtu kama ni mla rushwa, hata kama ushahidi hautapatikana (kwa sababu watoaji hawawezi kuwa na ujasiri wa kutoa ushahidi kwa sababu nao ni wahalifu), huwa anajulikana.

Lakini kuhusiana na huyu bwana, mamlaka zinafahamu, na zinafanyia kazi tuhuma, japo anajitahidi sana kuzima tuhuma, kwa kutoa rushwa kwa maafisa mbalimbali anaohisi au wanamchunguza au anaona wana uwezo wa kumkamata kwa ushahidi.
 
Weka mkeka wa ushahidi hapa. Hizi mambo za kukaa nyuma ya keyboard na kurusha tu tuhuma, no!
Ushahidi wa tuhama zake, upo kwa wenye mamlaka. Angalao kwenye hilo nina uhakika wa 100%.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…