Dkt. Dugange: Umri wa mikopo kwa vijana umeongezwa hadi miaka 45

Dkt. Dugange: Umri wa mikopo kwa vijana umeongezwa hadi miaka 45

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Dkt. Festo John Dugange, Naibu Waziri TAMISEMI

"Mikopo ya asilimia 10 inatolewa kwa makundi maalum ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kupata mikopo isiyo na riba. [..] Aidha, umri wa ukomo katika mikopo kwa vijana umeongezwa kutoka miaka 35 hadi miaka 45."

 
Hizo pesa ni maigizo sisi jimboni kwetu tunazisikia tu kwenye redio. Tunatoa taarifa zetu lakini hakuna hela.
 
Dkt. Festo John Dugange, Naibu Waziri TAMISEMI

"Mikopo ya asilimia 10 inatolewa kwa makundi maalum ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kupata mikopo isiyo na riba. [..] Aidha, umri wa ukomo katika mikopo kwa vijana umeongezwa kutoka miaka 35 hadi miaka 45."

wale wa floor ya tatu na ya nne fursa hiyo
 
Back
Top Bottom