Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Dkt. Festo John Dugange, Naibu Waziri TAMISEMI
"Mikopo ya asilimia 10 inatolewa kwa makundi maalum ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kupata mikopo isiyo na riba. [..] Aidha, umri wa ukomo katika mikopo kwa vijana umeongezwa kutoka miaka 35 hadi miaka 45."
"Mikopo ya asilimia 10 inatolewa kwa makundi maalum ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kupata mikopo isiyo na riba. [..] Aidha, umri wa ukomo katika mikopo kwa vijana umeongezwa kutoka miaka 35 hadi miaka 45."